Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na marking zake ndio balaa kama hilo.
Siku akija kummark bruno usishangae akakaa hospitali msimu mzima
tapatalk_1598776057719.jpg
 
Iceman hana pace na Harry hana pace, hawa watu hawawezi kucheza pamoja. Kuna magoli huwa tunafungwa kwasababu wanakabia macho, kwangu mimi naona Harry anahitaji pacha mwenzake ambaye awe na pace ongeza na aggressive. Lindelof awe anaongeza squad depth.
Beki mpya akisajiliwa atayaexpose kwa uwazi zaidi makosa ya Harry Maguire.

Kuna watu wanadai Lindelof ni mbovu lakini mimi naona Lindelof anaficha makosa mengi sana ya Harry Maguire.

Mapungufu ya Lindelof ni aerial duels ambazo ameimprove sana msimu huu ukilinganisha na last season kingine Lindelof hana pace but anajua positioning vizuri sana.

Ukiangalia mechi tulizofungwa kwa reckless defending utakuta aliyefanya makosa mengi ni Hatry Maguire recently ni mechi ya Sevilla goli la kwanza, game ya chelsea two goals.

Kama kweli Solkjaer anasajili beki wa kumreplace Lindelof muda utasema nani mwenye individual errors kuliko mwenzake.
 
IMEELEZWA kuwa Manchester United ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya beki wa Klabu ya RB Leipzig, Dayot Upamecano kwa ajili ya kuongeza nguvu msimu ujao wa 2020/21.
Kocha Mkuu wa United, Ole Gunnar Solskjaer yupo kwenye mpango wa kuboresha safu yake ya ulinzi ambayo imekuwa kwenye tatizo la umakini kwa msimu wa 2019/20
Lengo la kocha wa United ni kumuongezea nguvu nahodha wa kikosi hicho, Harry Maguire ambaye ndiye tegemeo kwa upande wa ulinzi ndani ya kikosi hicho.
Kwa mujibu wa ESPN , Solskjaer anaamini kwamba atakamilisha dili hilo mapema kabla ya Oktoba 5.
Tayari nyota huyo mwenye miaka 21 anayeshiriki Ligi ya Bundesliga amesaini mkataba mpya na timu yake ambayo ilitiga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kabla ya kutolewa na PSG ya Ujerumani hivyo italazimika kutoa pauni milioni 53 kwa ajli ya ada ya kumpata nyota huyo .
 
Tusimsingizie Lindelof kwa individual errors za Maguire.

It's true Lindelof nae ana weakness zake lakini Maguire anapofanya error mzigo asitupiwe Lindelof.

Mifano michache ya hizo errors za slab head
1 alimkimbia Aubameyang with a wrong timing ya offside tukafungwa.

2 Alimwacha Meson Mount akajifungia goli on one vs one situation bila hata kumkaba.

3 Alimwacha Steve Bergwijn akafunga on one vs one situation bila hata kufanya tackle na hakuwa last man.

3 alikimbia pass ya goli la kwanza tukafungwa akiwa hajui anakaa bila kumkaba mtu yoyote akaupa mgongo mpira tukapigwa.

4 alimpiga header Eric Bailly recklessly na kumsababishia injury ya two weeks.

5 Game ya Chelsea two goals za chelsea zilitokana na makosa ya Harry Maguire moja ikiwa kujifunga kwa kupiga tap in ule mpira badala ya clearance.

6 game ya chelsea tena alipigwa wrong pass badala ya kufanya marking akaanza kukimbia kuelekea golini kampa mgongo Azipilcueta anakapiga cross almanusura tupigwe goli.

7 Pamoja na kuwa yeye ni captain lakini huoni wenzake akiwalekeza uwanjani mathalani game ya Sevilla tulifungwa kwa poor leadership uwanjani

Ngoja tupate defender mwingine ili aje ayaexpose zaidi mapungufu ya Harry Maguire.

NB
Nathamini sana mchango wake aliouleta kwenye timu toka asajiliwe ila Mzigo wa Makosa yote ya defence yetu asibebeshwe Lindelof tu.
 
Mkuu PTER linderlof co beki wa kumtumainia, alikuwa mbovu kabla hata hajafika Maguire, tatizo lake kubwa ni marking na ndiyo maana hata cku ile na sevilla baada ya kuchoma Bruno alimfata kumpa ukweli wake yn huwa anakabia macho pia ana tabia ya kumsindikiza beki, Maguire ni dizain ya beki smart asiyehitaji vurugu nyingi, yeye kazi yake ni kumaliza pale na kupanga mashambulizi ( modern football) but akicheza na linderlof huwa hajiamini na ndiyo maana unakuta naye anavurunda mana atataka kupanda lkn aliyemuacha nyuma ni kiande so anajikuta ana hofu nyingi, yn Maguire ni heri acheze na bailly ndo utakuta ana relax tatizo kubwa ni ole anaonekana hamuamini bailly na ndiyo maana akipangwa naye pia anapoteza kujiamini mwishowe anachoma but angeiminiwa wala kulikuwa hakuna haja ya kununua beki na ukitaka kuamini nisemacho ngj bailly apelekwe hata kwa mkopo tm nyingine af uone.

Pia linderlof tatizo lake kubwa ambalo mara nyingi lina ikosti tm ni ubovu wa pasi, yn jamaa ni mbovu wa kupiga pasi sijawahi ona, ofcz pale utd kuna watu wanakula pesa za bure na mmoja wapo ni huyu nyumbu anayeitwa linderlof yn ndo nyumbu mwenyewe ss, na ukisikia man u inaitwa nyumbu basi nyumbu ndo huyu mpuuzi anayejiita linderlof.
Unataka kusema kwamba Passing accuracy ya Lindelof ni faulty ???

Sidhani kama Lindelof ana mapungufu kwenye passing sijawahi kuona kosa la Lindelof kwenye passing lililosababisha either a chance to score au a goal.
 
VDB ni mchezaji mzuri sana wasi wasi wangu ni wapi atatumika kwa kiwango chake siyo level ya back up player

Good in attacking, good marking and good defending what a boy !!!!!
Mkuu atapambania namba..hii united inabidi iwe na wachezaji wakali mwanzo mwisho..hata Fernandes na Pogba wakianza kuzingua wanawekwa benchi watu wanachukua nafasi..
 
Mkuu atapambania namba..hii united inabidi iwe na wachezaji wakali mwanzo mwisho..hata Fernandes na Pogba wakianza kuzingua wanawekwa benchi watu wanachukua nafasi..
Ni kweli ila kwa sasa itabidi apambane sana kuingia kikosi cha kwanza kama ataweza kuzoea mazingira haraka kwa work rate yake tutakuwa na kikosi kizuri sana kwenye midfield.

Siku tukichezesha Tominay, Donny, Bruno, hapo midfield patakuwa pamoto sana.
 
1.Lukaku amecheza United only 2 season

2.Lukaku ni pure no 9 unlike Martial & Rashford.SAF alikuwa na forward 4 wenye different attribute now tuna forward 3 wenye similar attribute (Greenwood,Martial,Rashford) ndio maana tumekuwa very predictable kwenye kushambulia

Angalia hiyo review kuhusu Lukaku

Huyu mshambuliaji labda Mimi namuona vibaya ila huwa Naamini si mzuri kivilee! Siyo top clinical finisher! Ana uzito Fulani hivi na control yake bado ni shida, so namuona kama ni mshambuliaji ambae hajakamilika na hawezi kubadilika!
 
Wakuu habari..its been a while..pweh!!

Naona VAN DE BEEK anafanya medical mida hii(kulingana na Fabrizio Romano)

Binafsi simjui vizuri huyu mchezji lkn nimengalia Clips Youtube naona ni attack minded midfield..na anacheza sn upande wa kulia..maybe atakuwa deployed kama RW km tukimkosa sancho..Maybe!!!
Huyu kiungo mzuri sana na ni versatile anacheza kiungo mlinzi, kiungo mshambuliaji na ana kaba vizuri pia. Ana work rate kubwa pia si kama Pogba,ila sina maana ya kumsema vibaya pogba japo huyu mchezaji Naamini anaweza kuwa msaada kuliko pogba! Labda tu kocha ashindwe kumtumia.
 
Mkuu harry ni bonge la beki..tatizo kazungukwa na watu ambao sio sahihi.. Lazima kupatikane back 4 mfia timu kama level ya vidic..
Man u wakati yupo Ferdinand 5 na vidic 4 beki ilitulia,,
Pacha ya harry na lindleof haijatulia,,
Lindleof bado haeleweki,,,ngoja asajiliwe no 4 mfia timu ,,,acheze pacha na harry..utaona uzuri wa harry...
Hivi yule coulibaly Wa Napoli bado ni gharama sana au umri,au hatufai!?
 
huyu dogo haipendi united maana alishatuchomolea kipindi kile
Naamini angekuja ila influence ya Pep ilimpeleka Munchen hasa ukizingatia Pep alikuwa kocha wao kule barca na ni mhisipania na dogo alikuwa bado Mdogo sana,hivyo kwa vyovyote hata ningekuwa Mimi ningeenda kule mana ni klabu kubwa pia lakini angepata faraja pia kuongozwa na mspain mwenzake
 
Back
Top Bottom