Almost timu nyingi siku hizi zinatumia full backs kuanzisha mashambulizi. Unadhani Bisaka kiwango alichoonyesha kinamfanya afuzu kua attacking full back?Sawa sawa ,,lakini aina ya uchezaji wa Manchester hutumia zaidi mawinga na full beki kupanda na kutoa cross,,sasa bila striker aina ya IBRA,,au Cavan utashindaje?
Timu inayotumia mipira ya kupenyeza kama Barcelona ndy timu ambayo inakuwa na viungo wengi ili kumiliki Mpira,lakini kwa mfumo wa man u tangu enzi za fegy,,mfumo ni mawinga na kuweka mpira golini,,,
Man u hatuna mambo mengi,,pasi zilikuwa ni tatu tu goli,,
Ferdinand anampa carik carik anapiga ndefu inakutana na Ronald anaweka ndani teves au barbatov anamaliza..
