kwanini wamefuta lile jukwaa........halafu pesa nje nje muleKuna watu nawatafuta humu hamjawaona wazee? Tumevunjiwa nyumba yetu mitaa fulani hapa JF sasa hivi tunaishi kama yatima.
hata tukijaribu kujenga kakibanda ka miti, mods wanapita nako kama mgambo wa jiji.
Inatulazimu kujibanza kwenye nyumba za watu kama hii ambayo tuna unasaba nazo.
aibu ya mwaka hii....
Get ur facts straight..Herrera Left the club FOR FREE..!! hakuuzwa.Sell Herrera.
Sell DiMaria
Sell Lukaku
Phill Jones Stays.
Lingard Stays.
Hahahaha
Ila bodi wamesajli 2 windows huku chelsea wakiwa wamefungiwa hivo usiwalaumu tumieni kilichopoChelsea this window;
Ziyech
Havertz
Thiago silva
Timo werner
Ben Chilwell-->hatua za mwisho
Sisi MAN UTD..
Zero transfer mpk leo
Alaf eti msimu ujao tuchallenge kombe!? Hahahaa..kwa style hii hatutachukua hata kombe la mbuzi.
Man utd inaboard ya ajabu sana wabahiri na wazembe..bila hii board kubadilika tutajikuta tunafukuza makocha kila mwaka.
Umeelewa nilichokiandika!? Au umeandika tu!?Ila bodi wamesajli 2 windows huku chelsea wakiwa wamefungiwa hivo usiwalaumu tumieni kilichopo
hayo tuyaache mkuu tugange yajayoNilipoteana vibaya sana toka sevilla ametutandika wiki jana.
Kumshindilia mtu nane tulishafanya kabla Bayern hajafanya mkuuSijui hata mwaka gani tutakùa na timu kali kama ile bayern ya kumshindilia mtu bao nane uefa
Hahaha dah hivi atakuwa ni nani vileKumshindilia mtu nane tulishafanya kabla Bayern hajafanya mkuu
Tatizo nyie wengine mmeanza kushabikia man u juzi especially baada ya betting kushika kasi lkn man u ishawahi kumpiga mtu bao 8-2 nao ni As Roma, game ya kwnz Roma alishinda kwao 2-1 akaja OT akakutana na hicho kiama, ule ni ushindi ambao ckuwahi kuuona kwny ucl mpk ile juzi Bayern Munich nayo inapata ushindi ule.Sijui hata mwaka gani tutakùa na timu kali kama ile bayern ya kumshindilia mtu bao nane uefa
Mkuu uko deep sana na facts za kutoshaSee how childish you are. I expected facts from you.
Benchmark yako ya kupima talent ni ipi?
Hata Chico alikuwa anafunga na kisogo, tumbo. Magoli ya Zlatan vipi?
Style of scoring or delivering doesn't matter, but we need goals.
Nyie ndo mnachagua mtu kwa kuangalia mvuto wake na sio takwimu.
Mkataba uliishaNamkubali sana Under Herrera ..jana kafanya kazi kubwa sana. Hii man u kwanini ilimuuza?
Yesu akirudiSijui hata mwaka gani tutakùa na timu kali kama ile bayern ya kumshindilia mtu bao nane uefa
Kumbukumbu zangu ziko hivi.Tatizo nyie wengine mmeanza kushabikia man u juzi especially baada ya betting kushika kasi lkn man u ishawahi kumpiga mtu bao 8-2 nao ni As Roma, game ya kwnz Roma alishinda kwao 2-1 akaja OT akakutana na hicho kiama, ule ni ushindi ambao ckuwahi kuuona kwny ucl mpk ile juzi Bayern Munich nayo inapata ushindi ule.