





Kwani Barcelona ndio Manchester United.Mimi niliwahi kuongea humu kwamba TUKIENDA UEFA na Hiki kikosi chetu dhaifu TUTAPIGWA NANE!!!
Lakini kuna jamaa wakabisha, sasa mnaona BAYERN anachomfanya BARCA HUKO!??
Eti Na sisi next season tujipeleke na kina lingard,perreira na jones muone watakachotufanya..
Utd lazima tusajiri vizuri dirisha hili tuepukane na hizi Aibu..
Hawa wajerumani wana roho ngumu ksng kmmk![]()
Ungetabir kuhusu barca sio manMimi niliwahi kuongea humu kwamba TUKIENDA UEFA na Hiki kikosi chetu dhaifu TUTAPIGWA NANE!!!
Lakini kuna jamaa wakabisha, sasa mnaona BAYERN anachomfanya BARCA HUKO!??
Eti Na sisi next season tujipeleke na kina lingard,perreira na jones muone watakachotufanya..
Utd lazima tusajiri vizuri dirisha hili tuepukane na hizi Aibu..
Hawa wajerumani wana roho ngumu ksng kmmk![]()
Nisaidie kushangaaKwani Barcelona ndio Manchester United.
Akili za kuvukia Barabara hizo nikajua utakuja kuonesha lini Manchester alifungwa 8.
Tumewahi kuwa uefa chini ya David Moyes na tulicheza na Huyo Bayern Munich ila hakutufunga hizo goal zako 8 na mpira hauko hivyo.
Ww ndo unaAkili za kuvukia barabara..Kwani Barcelona ndio Manchester United.
Akili za kuvukia Barabara hizo nikajua utakuja kuonesha lini Manchester alifungwa 8.
Tumewahi kuwa uefa chini ya David Moyes na tulicheza na Huyo Bayern Munich ila hakutufunga hizo goal zako 8 na mpira hauko hivyo.



Alisajiriwa kama LW , alipoumia Boateng Na Hernandez , Alaba akarud CB , Alphonso akaitwa acheze LBAlphonso Davies..what a RB
Full backs inabidi wawe na attributes kama zake,
Sijafanya utabiri wowote hapo.. next time u gotta hv 2 read btn the lines before makin those lame ass commentsUngetabir kuhusu barca sio man

That speed..duh!! Kid is gifted!Alisajiriwa kama LW , alipoumia Boateng Na Hernandez , Alaba akarud CB , Alphonso akaitwa acheze LB
Kifupi ana attributes za Winger ,ndio maana anasumbua sana
Okay..I got you..Game ya kwanza kumcheki nilisema bayern wamemtoa wapi huyu dogo,,maana alikuwa anapiga krosi kali sana aiseeAlisajiriwa kama LW , alipoumia Boateng Na Hernandez , Alaba akarud CB , Alphonso akaitwa acheze LB
Kifupi ana attributes za Winger ,ndio maana anasumbua sana
Umeongea ukweli sema wanakubishia tu, kiukweli kama bado hujajipanga vya kutosha , ni kheri usubiri kwanza huko UCL ,Ww ndo unaAkili za kuvukia barabara..
Ukienda UEFA wkt haupo vizuri lazima uadhibiwe..that's my point
Kama unabisha kunya boga![]()
Waache wabishe mkuu..wengine wanatafuta pakutolea stress zaoUmeongea ukweli sema wanakubishia tu, kiukweli kama bado hujajipanga vya kutosha , ni kheri usubiri kwanza huko UCL ,


Ni mcanada , yupo njema sana ,Okay..I got you..Game ya kwanza kumcheki nilisema bayern wamemtoa wapi huyu dogo,,maana alikuwa anapiga krosi kali sana aisee
UTD bado hatupo serious kwny usajiliDah! Man U kweli miyeyusho mbona kuna wachezaji wazuri wa kufatilia muda huu. Kama Upemecano kwa beki ya kati yuko vizuri.
Dah! Namtamani Alphoso Davies hata kuwachokoza Bayern hatuwezi?
Kukomaa na Sancho ufala huo
Bayern na Barcelona wanavita ya visasi.Kwani Barcelona ndio Manchester United.
Akili za kuvukia Barabara hizo nikajua utakuja kuonesha lini Manchester alifungwa 8.
Tumewahi kuwa uefa chini ya David Moyes na tulicheza na Huyo Bayern Munich ila hakutufunga hizo goal zako 8 na mpira hauko hivyo.
Imagine timu yetu ina Luke shaw/William na awb halafu wao wana kimmich na Davies. Mbele wana lewa,muller,sisi tunajiandaa kuanza ligi na rashford pamoja na martial. Namuunga mkono jamaa Ugiligili kwenye hoja yake hapo juu.Alphonso Davies..what a LB
Full backs inabidi wawe na attributes kama zake,
Thiago kwanini tusipeleke hata offer yetu?..hii ni type ya kiungo tunayemuhitaji pale OT kuongeza nguvu