Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Bruno Fernandez bado ni mgeni kwenye EPL sidhani kama amefikisha hata mechi 20 so it's too early to conclude that,First season Pogba amepoteza sana mpirahuu mjadala wa bruno fernandez na upotezaji wa mipira umetamalaki kwenye forum na kurasa za manchester united.
acha niendelee kukaa kimya kwa lengo la kujifunza zaidi mawazo ya wengineo.
kuna mdau fulani nakumbuka humu ndani aliwahi kusema
man utd walishindwa kumsajili bruno dirisha kubwa kwa sababu ya takwimu zake za passing accuracy, wengi wetu hatukumuelewa
kuna makala fulani nimeisoma kupitia mtandao wa the athletic wiki iliopita nitajaribu kuishusha, inazungumzia ishu ya bruno fernandez.
athletic makala zao mpaka ulipie au utumie crack method
===========================
EPL inahitaji speed,power & flexibility viungo wengi toka ligi nyingine waliadapt kucheza EPL kwenye msimu wao wa pili (Kovacic,Fabinho,Pogba,Xhaka,)
Kina Keita,Toreira,Minamino,Ndombele,Lo Cesco bado hawaja-adapt
Fernandez primary objective is to create chance,assist & score goals he was efficient for more than 90% in all category.
Hivi karibuni ameanza ku-stuggle sababu kubwa ni uchovu amecheza dakika nyingi bila kupumzika tangu amesajiliwa sababu nyingine tayari opponent wameshajua strenghth zake so wanamkaba sana bila Bruno huenda United ingemaliza ligi na point 50
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app