Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo pia sijui hatuna bahati au niaje..

OFFSIDES TATU!!! ambazo kwa kawaida yangekuwa magoli matatu hapo.
 
Guys team yetu inahitaji usajli wa maana..team yetu sio nzuri kama ambavyo baadhi yetu tunavyoamini..

Imagine mpk sshv bbado hatuja break defense ya hawa madogo..Meanwhile Intermilan amewasha moto goli mbili ndani ya dkk 25.

Man u sio nzuri kama tunavyoamini.
Kuna mdau kaeleza vizuri hapo juu, hii timu inahitaji mchezaji kama mmoja tu kwenye ulinzi, otherwise ni timu iliyo na wachezaji wote muhimu, kilichosalia ni ufundishaji na mbinu za mwalimu.
 
Guys team yetu inahitaji usajli wa maana..team yetu sio nzuri kama ambavyo baadhi yetu tunavyoamini..

Imagine mpk sshv bbado hatuja break defense ya hawa madogo..Meanwhile Intermilan amewasha moto goli mbili ndani ya dkk 25.

Man u sio nzuri kama tunavyoamini.
Nani madogo?
 
Hii timu sijui tunakwama wapi, kianzia kocha hadi wachezaji wote hawapo serious.....mchezaji hata cross hajui kupiga anakosea anacheka tu, kocha ahata aamke kuwaelekeza nae amekaa......nafasi ya 3 ni zawadi tosha ya utawala wa Ole hatuwezi ifikia tena misimu yote inayokuja
 
Back
Top Bottom