Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Tatizo ni kocha hapa wala sio timu maana hamna tunachocheza kocha karidhika na uchezaji huu. Wapinzani wako bora sana hata mashambulizi yao ila sisi tunacheza slow balaa.
Tunaoumia ni sisi mashabikiiiHii timu sijui tunakwama wapi, kianzia kocha hadi wachezaji wote hawapo serious.....mchezaji hata cross hajui kupiga anakosea anacheka tu, kocha ahata aamke kuwaelekeza nae amekaa......nafasi ya 3 ni zawadi tosha ya utawala wa Ole hatuwezi ifikia tena misimu yote inayokuja



Mungu kawasikia hatimae mmepata tuta.Bila kupewa penalt leo hatutoboi
Nilisema mimi bila penalt hatushindi ndio kawaida yetuMungu kawasikia hatimae mmepata tuta.
Hii ndio robo fainaliGame ya robo tunakutana na inter Millan tujiandae kisaikolojia
Hii timu bhana yani mshambuliaji mkuu anaitwa penalty
wamnnune yuko vzrWachambuzi wanasema Chelsea anunue Hutu keeper anayezuia mafuriko ya leo!