Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aisee
Screenshot_20200808-181243.jpg
 
★Mimi nazani Dybala alikuwepo na hitirafu na ndio maana hakuanza nae ila kwa baadae baada ya kuzidiwa akaona ili akwepe maneno ya watu na lawama akaamua kumuweka sasa maana na sisi binadamu hata tungeambiwa kwa baadae Paul hajaingia alikuwa na tatzo la kiafya tusingeamini tu
Mimi ilinishangaza alipoanza na Federico Bernadeschi badala ya Paul Dybala.
Kwenye midfield Aurar aliwapoteza midfielders wa Juventus wote.
 
★Mimi nazani Dybala alikuwepo na hitirafu na ndio maana hakuanza nae ila kwa baadae baada ya kuzidiwa akaona ili akwepe maneno ya watu na lawama akaamua kumuweka sasa maana na sisi binadamu hata tungeambiwa kwa baadae Paul hajaingia alikuwa na tatzo la kiafya tusingeamini tu
Hahahaha kifupi alizidiwa mbinu na Rud Garcia.

Wale watoto walicheza jihadi sana walihakikisha Ronaldo haingii kwenye box lao na mpira ikabidi awe anapiga long shots ambazo walikuwa na kazi ya kufanya blocking na interceptions walifanikiwa sana.
 
kwa mujibu wa fabrizio romano, juventus wamempa timu andrea pirlo
View attachment 1531430
Kama ni hivyo wanaanza project mpya nina wasiwasi kama msimu ujao wataweza kutwaa ubingwa wa Italy tena.

Intermilan ya Conte itakuwa imeimarika sana kuliko msimu huu.

Atalanta kama hawatabomoa kikosi chao basi watakuwa real title contender tena kama ilivyokuwa msimu huu.

Mechi tano alizopoteza Lazio baada ya Lockdown zilimpa nafasi Juventus kutwaa ubingwa vinginevyo Lazio wangekuwa mabingwa wapya msimu huu, kama hawatabomoa squad yao watakuwa title contenders pia.

AC Milan ya Stephano Pioli inaonyesha mwanga wa matumaini tena baada ya kupoteana miaka mingi iliyopita wanahitaji wachezaji kadhaa wazoefu huenda nao wakaongeza ushindani na kurudi kwenye mashindano ya UCL.
 
★Ngoja tuje tuwaonyeshe msimu ujao tunapiga goli hatujari CR7 Yupo
Hahahaha kifupi alizidiwa mbinu na Rud Garcia.

Wale watoto walicheza jihadi sana walihakikisha Ronaldo haingii kwenye box lao na mpira ikabidi awe anapiga long shots ambazo walikuwa na kazi ya kufanya blocking na interceptions walifanikiwa sana.
 
Back
Top Bottom