Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahahahahaaaaaa
============================
kabla ya mwezi december bwana james alikuwa ni mchezaji wetu muhimu sana (bado naikumbuka performance yake dhidi ya southampton, alifunga goli zuri sana, ndiye mchezaji pekee aliyekuwa akionyesha uhai siku ile licha ya soton kucheza pungufu kwa muda mrefu).

  • alianza kuonyesha hatari sana kwa kushots mipira ya mbali
  • alikuwa hatari sana pindi anapo cut inside hususani akitokea kushoto
  • high speed especially kwa kukimbia ndani ya box (ndiye alikuwa akiongoza kwa kufanyiwa rafu)
  • alitengeneza nafasi na kufunga(mwezi august alifunga magoli 3)
james alileta faida kubwa sana kipindi yupo onform, bahati mbaya sana kipindi ambacho yeye yupo vizuri wachezaji wenzake hawakuwa kwenye viwango sahihi(lingard, perreira), wengine walikuwa majeruhi (pogba baadae rashford) na wengine bado hawakuwa tayari kucheza soka la ushindani (fred na matic).

kama ulivyosema hapo juu james anapendelea zaidi mpira wa free space na ndio muujiza pekee anaoutegemea na kibaya zaidi timu za uingereza zinaufahamu udhaifu wetu (hatuwezi kutake advantage kiuarahisi kwa team zinazoweka 2 low block)

kwa nini amekuwa akiwaonea man city?
jibu umeshalijibu hapo juu

kwa mustakabali wa career yake, daniel anapaswa apambane kwa sababu bado ana muda wa kujifunza zaidi, kufeli kwake mwishoni pia ni faida kiupande fulani kwa sababu tutashuhudia ingizo jipya la winga

na daniel james atakuwa ni additional squad player kama shaqiri na liverpool yake.
kama vipi tuwape dortmund wamtengeneze kwa msimu mmoja
Solkjaer hatakuwa tayari kumwachia Daniel James aondoke kwa sababu ya uhitaji wake anapotaka kucheza counter attack.

Lakini toka tumrudi kutoka kwenye corona kuna badiliko kidogo kwenye uchezaji wetu badala ya kucheza deep na kusubiri tufanye counter attack tunakaa sana na mpira na kudominate uwanjani sasa kina Daniel James wanakuwa hawana matumizi tena.
 
Screenshot_20200806-164147.jpg
 
Dortmond ni wahuni sana, halafu wanajidai wana msimamo lakini hamna kitu

Kwenye dili la Dembele walidai £135M upfront, lakini matokeo yake wakapata £96M upfront, halafu nyingine zikawa ad ons... Ambazo nadhani nyingi hazijalipwa sababu ya Dembele kutofikia malengo hasa kutokana na majeruhi. Huyu Dembele wakati huo alikuwa amebakiza miaka 4 kwenye mkataba wake, akafanya drama kidogo, ikabidi Dortmond wamuachie.

Ed sio mjinga, kwa mashabiki tunataka hela ilipwe haraka ili Sancho awe mali yetu, bila kujali ni kiasi gani. Lakini board ya United hawapo naive kiivyo, watatumia vichwa vyao kufanya maamuzi na si mioyo yao.

After all board wanajua dirisha kufungwa ni mpaka October 5, Sancho anataka kwenda United na imebaki miaka 2 mkataba wa Sancho uishe. United tunahitaji Sancho afanye drama kidogo ili kuwasukuma Dortmund wamuuze. Msimu huu wa Corona sio kipindi cha kutaka kupiga watu bei unreasonable.

Townsend mchezaji wa sasa wa Cristal Palace anaamini kwa kiwango cha Sancho (potential Ballon Dour winner) hiyo bei ni reasonable . Lakini kwa soko la sasa wachambuzi wengi wanaamini Sancho ana thamani ya in between £85M mpaka £100M.

Ilikuwa inasemekana leo tarehe 7 ilikuwa ndio mpango wa United kutangaza Sancho 7 ambapo jezi namba 7 hivi karibuni imeachwa moja kwa moja baada ya Sanchez kuhamia Inter Millan. Unajua United inayofanyia marketing kila kitu.


Lakini kwa kimya cha hizi siku mbili tatu, dalili zinaonesha mashabiki tunapaswa kuwa wavumilivu. Kwa timu nyingine, wanaweza kufanya dili mbili au tatu kwa wakati mmoja, lakini kwa bahati mbaya, kwa United yetu inaonesha inabidi mpaka dili la Sancho likamilike ndio tuangalie wachezaji wengine.

Patience is all that needed, patience is all that fans lack
 
Dortmond ni wahuni sana, halafu wanajidai wana msimamo lakini hamna kitu

Kwenye dili la Dembele walidai £135M upfront, lakini matokeo yake wakapata £96M upfront, halafu nyingine zikawa ad ons... Ambazo nadhani nyingi hazijalipwa sababu ya Dembele kutofikia malengo hasa kutokana na majeruhi. Huyu Dembele wakati huo alikuwa amebakiza miaka 4 kwenye mkataba wake, akafanya drama kidogo, ikabidi Dortmond wamuachie.

Ed sio mjinga, kwa mashabiki tunataka hela ilipwe haraka ili Sancho awe mali yetu, bila kujali ni kiasi gani. Lakini board ya United hawapo naive kiivyo, watatumia vichwa vyao kufanya maamuzi na si mioyo yao.

After all board wanajua dirisha kufungwa ni mpaka October 5, Sancho anataka kwenda United na imebaki miaka 2 mkataba wa Sancho uishe. United tunahitaji Sancho afanye drama kidogo ili kuwasukuma Dortmund wamuuze. Msimu huu wa Corona sio kipindi cha kutaka kupiga watu bei unreasonable.

Townsend mchezaji wa sasa wa Cristal Palace anaamini kwa kiwango cha Sancho (potential Ballon Dour winner) hiyo bei ni reasonable . Lakini kwa soko la sasa wachambuzi wengi wanaamini Sancho ana thamani ya in between £85M mpaka £100M.

Ilikuwa inasemekana leo tarehe 7 ilikuwa ndio mpango wa United kutangaza Sancho 7 ambapo jezi namba 7 hivi karibuni imeachwa moja kwa moja baada ya Sanchez kuhamia Inter Millan. Unajua United inayofanyia marketing kila kitu.


Lakini kwa kimya cha hizi siku mbili tatu, dalili zinaonesha mashabiki tunapaswa kuwa wavumilivu. Kwa timu nyingine, wanaweza kufanya dili mbili au tatu kwa wakati mmoja, lakini kwa bahati mbaya, kwa United yetu inaonesha inabidi mpaka dili la Sancho likamilike ndio tuangalie wachezaji wengine.

Patience is all that needed, patience is all that fans lack
Ila tuende mbele turudi nyuma hili dili ya kumsajili Sancho ni lazima liwe na ugumu wa hapa na pale..haliwezi kukamilika tu kwa wiki moja,na tena timu yenyewe ni BVB
 
✓Anthony Martial

✓Marcus Rashford

✓Mason Greenwood

✓Dean Henderson (On-Loan)

Wote hawa wapo kwenye kinyanganyiro cha best young player na wachezaji wa timu nyingine kama Mount na Pulisic'

I will go with Anthony Martial..Lakini pia Greenwood ameproduce something special na ni youngest kwenye hiyo list so akipewa yeye itamake sense zaidi
 
✓Anthony Martial

✓Marcus Rashford

✓Mason Greenwood

✓Dean Henderson (On-Load)

Wote hawa wapo kwenye kinyanganyiro cha best young player na wachezaji wa timu nyingine kama Mount na Pulisic'

I will go with Anthony Martial..Lakini pia Greenwood ameproduce something special na ni youngest kwenye hiyo list so akipewa yeye itamake sense zaidi
I will go with Mason, huyu kid Ni fire,,,,ila stats zitammbeba Anthony,,, umri pia unaweza kummbeba Mason,,,let's see
 
✓Anthony Martial

✓Marcus Rashford

✓Mason Greenwood

✓Dean Henderson (On-Loan)

Wote hawa wapo kwenye kinyanganyiro cha best young player na wachezaji wa timu nyingine kama Mount na Pulisic'

I will go with Anthony Martial..Lakini pia Greenwood ameproduce something special na ni youngest kwenye hiyo list so akipewa yeye itamake sense zaidi
Greenwood or Dean Henderson
 
✓Anthony Martial

✓Marcus Rashford

✓Mason Greenwood

✓Dean Henderson (On-Loan)

Wote hawa wapo kwenye kinyanganyiro cha best young player na wachezaji wa timu nyingine kama Mount na Pulisic'

I will go with Anthony Martial..Lakini pia Greenwood ameproduce something special na ni youngest kwenye hiyo list so akipewa yeye itamake sense zaidi
Greenwood is my choice! √
 
★Everton boss Carlo Ancelotti is hoping to sign Manchester United's Diego Dalot for just £10m.

The defender has struggled for minutes on the pitch this season under Ole Gunnar Solskjaer.★

#GGMU
IMG_20200807_170249_332.jpeg
 
Back
Top Bottom