Yeyote poa tu ,,, hatutakiwi kuogopa timu tutakayokutana nayo,,,, ! And off course tulishakualifai champion league, hatuna presha, kombe tunalihitaji Kama advantage tu ,,,kudhihirisha ubora wetu na future ya next season tunatakiwa tukutane na timu ngumu ,,,, ! Let's goBaada ya kumlamba copenhagen atakaefuata ni wolves au sevilla we unataka yupi hapo na kwanini?

Hauko seriousNilimaanisha Dortmund
Maume za nani wewe fyalaaMaume zenu out



Haya mambo usituambie sisi mkuu..nenda ukafarijiane na wenzako,humu tutakupa stress tuAngalia leo tunaenda mnywa bayani goli za kutosha..
Meza inapinduliwa kibabe leo..
Sisi sio madrid au Juve
Game itaisha ivi..
Bayan 1-4 Chelsea
Amini Kwamba
#CFC![]()

Wewe tulia kama ulivyo, hutaamini matokeo ya leo ..★Hahahahaaa kasheshe ipo leo hawa ChelSix★View attachment 1530855



Sisis tunapita na hakuna wa kutuzuia kwa sasa tunaibeba England mabegani kwetu ...Haya mambo usituambie sisi mkuu..nenda ukafarijiane na wenzako,humu tutakupa stress tu![]()



Wolves ukipangwa Naye utakalia tu ..Baada ya kumlamba copenhagen atakaefuata ni wolves au sevilla we unataka yupi hapo na kwanini?
Mm man u ila hapo nampa Arnold.
Cheltako mkishinda Leo nakupa million 2Wewe tulia kama ulivyo, hutaamini matokeo ya leo ..
Haya mazee tunayakimbiza na uwanja wao tuna historia tamu sana..
Amini Kwamba
#CFC![]()