Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani kabisa unasema thanks Corona virus?
Kwasababu tu ya hao mabeberu? Watu tumepoteza ndugu, jamaa na marafiki kwa hili gonjwa alafu wewe unashukuru uwepo wake.... Dah

Hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini?

Ungekuwa karibu hata kofi ningekutandika.
 
Toka December Pogba alikuwa hajacheza kacheza mechi hizi tu baada ya lockdown anapumzishwa nini ?

Ni heri Pogba acheze ili aendelee kupata match fitness.
Bado kuna robo fainali,nusu fainali na fainali..Pogba atacheza

Hakuna haja ya kumtumia wakati hata tukimpanga Mata bado uwezo wa kuwatoa LASK upo..


Na tukumbuke ligi inarudi 12 september
 
Wewe shabiki wa Asernane: Jifunze ku-contextualize your concepts.
 
Sure..msimu ujao Ole inabidi acheze karata zake vizuri,otherwise fatigue itatusumbua sana
Hatuna kikosi imara cha kucheza michuano yote minne.

Ole akileta ujuaji analiwa kichwa mapema sana.
 
Hatuna kikosi imara cha kucheza michuano yote minne.

Ole akileta ujuaji analiwa kichwa mapema sana.
halafu ole utafikiri hajawahi kucheza.....kasugua sana benchi pale kipindi icho kikosi kimeshiba leo hii kujifunza hataki
 
Wewe shabiki wa Asernane: Jifunze ku-contextualize your concepts.
Acha kutetea ujinga wewe pimbi wa nyumbu,

Acheni u-much know kwa sana, hivi mtu akiongea upuuzi kwa kuwa anaizungumzia nyumbu basi nyumbu zote mnaunga mkono.
Hapo hakuna cha ku-contextualize concept hilo ni janga la dunia na limegusa kila nyanja kila angle,
 

Wachezaji wapo wenye Quality ila benchi lenu la ufundi sio la kuliamini

Kwa sasa pale EPL washindani wakubwa ni LFC, Cityzens niambue namna gani unaweza kuwapiku hao kama timu yako haiwezi kuidhibiti timu inayojua kuuchezea mpira kama Leicester

Rashford,Martial wabahatishaji wale subiri uone msimu unaokuja
 
Jamaa wamepiga pesa ndefu sana,
Hivi Man City waliweka mipengele cha kupiga pesa kupitia huyu mchezaji?
Ni kwa sababu ni United. United wana kaushamba flani, mpaka wapigiwe kelele na media. Wanatakiwa kufanya business mapema, City wana pesa ila hawapigwi hela ndefu sana kwenye sajili
 
wasemavyo wenyewe:
Letting Sanchez leave for free and saving 60M on two years salary is just great business
=========================
don woodward amecheza kama pele, au amezingua?
View attachment 1526630
Alafu huyu sanchez si akubali kukatwa mshahara mbona vanpersie na rooney walikubali,,,, Yaani jamaa ana tamaa ya pesa
 
Hapana , Sanchez hajakubali kupunguza mshahara ila hiyo wages Euro 7m alikuwa akilipwa every year nje ya mshahara. Yaani jamaa alikuwa mchezaji hewa ndani ya club. Kiukweli Mourinho alichokifanya yaani Mungu anamuona
 
Hapana , Sanchez hajakubali kupunguza mshahara ila hiyo wages Euro 7m alikuwa akilipwa every year nje ya mshahara. Yaani jamaa alikuwa mchezaji hewa ndani ya club. Kiukweli Mourinho alichokifanya yaani Mungu anamuona
 
Deal la Sanchez Inter hawakuwa na option ya kumnunua so ilikuwa arudi OT but Inter walimtaka baada ya kuona ameanza kurudi form baada ya kupona (4goals 8 assist )in 22 games kwenye serie A

1.Inter walipropose waongezewe one year loan with option to buy (ilikuwa advantage kwao as United will still pay part of his wages)

2.Woodward alitaka awauzie kabisa kwa paundi 13-15m ,Inter wakagoma as hawawezi mlipa mshahara na hiyo transfer fee case kama Smalling na Roma (Smalling anataka kubaki Roma na wao wanamhitaji but United wanataka 15m paundi) Roma wanataka ipungue otherwise arudi
Smalling amerudi United

3.Besides money players enjoy to play football it was better decision for Sanchez to lower his wages in order to play football in Europe(Ni ngumu kwa umri wake& salary kupata mkataba wa miaka 3 ulaya)

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Ni kwa sababu ni United. United wana kaushamba flani, mpaka wapigiwe kelele na media. Wanatakiwa kufanya business mapema, City wana pesa ila hawapigwi hela ndefu sana kwenye sajili
Hii deal ikikamilika City watakunja kiasi cha £15m kutokana na kipengele cha kuvuna 15% ya faida ya mauzo ya Sancho,
Kilichopo katika mkataba wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…