Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha kupotosha umma wewe, labda kama umesimuliwa hizi habari, unasemaje Wenger timu yake ilikuwa ya kawaida zama zote za uongozi wake???
Kipindi cha Wenger timu imechukua EPL kadhaa na kufika final UCL ikiwemo kuchukua ubingwa wa ligi bila kupoteza mchezo alafu wewe simple tu unakuja kutema hili shudu...
 
Ukifuatilia vzr historia ya Wenger na Arsenal yake utagundua kwamba wachezaji wengi waliompa mafanikio yale hakuwasajiri yeye ila baada ya wale aliowakuta kutundika daluga naye habari yake ikawa imeisha.
 
To be precise 22 years at Arsenal and 3 epl titles! What about Mourinho at Chelsea? Guardiola at Man city?
 
Basi natoa agizo,,
vijana watumwe wamlete huyo Sancho mara moja[color/]
 
Ukifuatilia vzr historia ya Wenger na Arsenal yake utagundua kwamba wachezaji wengi waliompa mafanikio yale hakuwasajiri yeye ila baada ya wale aliowakuta kutundika daluga naye habari yake ikawa imeisha.
Acha uwongo mzee, hivi unajua hata Arsene Wenger ameanza kuifundisha lini Arsenal???

Hebu taja hao wachezaji unaosema waliompa mafanikio na hakuwasajili yeye,
Kwanza ulisema katika maisha yake yote ya soka hapo Arsenal hakuwahi pata mafanikio, sasa hivi umekuja na lingine kuwa kapata ila wachezaji hakusajili yeye
haya wataje.....


Msiwe mnasikiliza stori za vijiweni jamani.
 
To be precise 22 years at Arsenal and 3 epl titles! What about Mourinho at Chelsea? Guardiola at Man city?
Hapo unaongelea comparison, na hoja sio hoja sio hiyo,
Hoja ni mafanikio,
Au na wewe unataka kusema kuwa ni kweli Wenger hajawahi pata mafanikio katika maisha yake ya soka?

Utajidhalilisha mkuu.
Je, Pep hapo city mpaka sasa ana mafanikio gani?
Mourinho akiwa Chelsea ana mafanikio gani?

Kumzidi Prof????!
 
Miaka 22 vikombe vitatu ni kitu cha ajabu? Unaniuliza Mourinho Chelsea amepata nini? Angalia kakaa muda gani na ameshinda epl ngapi? Angalia Pep amekaa city muda gani ameshinda epl ngapi?
Miaka 22 kwenye epl na kushinda vikombe vitatu sio mafanikio,at least by my standards.
 
Arsene Wenger amekuja Arsenal mwaka 1996 alikikuta kikosi cha kina Tonny Adams, David Seaman, Wintuburn, Ian Wright kikiwa fire, na ndicho kikosi hicho hicho kilichochukua ubingwa mwaka 1998 na baadaye wachache wakastaafu lkn asilimia kubwa walibaki na ndiyo wakachukua tena epl mwaka 2002, kikosi pekee ambacho Wenger at least atajisifia kwa asilimia kubwa alikijenga yeye (na sio chote) ni kikosi cha 2004 ambacho ndicho kikosi cha mwisho kuchukua epl ni kile cha Thierry Henry.

Ss Wenger amekaa Arsenal miaka 22 kikombe kikubwa anachojivunia ni epl, no ucl, no europa hv apo utasema ana mafanikio kweli? Na baada ya wale wachezaji alowakuta kustaafu wote hapo ikamuwia vigumu kuendeleza consistence na huo ndio ukweli japo unauma but statistics don't lie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…