Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani Rashford aliniboa sana jana..Atleast basi ufanye vitu basic kama hujapick form yako..yeye ndo kwanza anaharibu mambo,kila saa anapoteza mpira.

Martial hata akiwa off-form bado kuna vitu basic anafanya unaona sio mbaya
 
Jana.
AWB
Pogba
William, walikuwa tatizo.

Magwaya ni tatizo la kudumu, Pogba anaforce kumjoin kwenye hii kategory.
Mechi mbili zilizopita Pogba amehamishiwa kucheza kulia with a limited role hii hali imepunguza sana effectiveness yake kwenye kuanzisha attack.

Kama tunavyojua Pogba is so careless when it comes to defending kumchezesha deep kama anavyofanya Ole anakuwa easy prey kwa washambuliaji wanaovizia. Hayo yalitokea kwenye game na Soton, game ya jana na game ya chelsea.
 
Unamaanisha Pogba na Matic ni wrong partnership?
 
Mie sina la kusema sana ila niwatakie tu fans wenzangu kila la heri tumpige Leicester, wacha msimu uishe huu,hata hapa tunasema Ebenezer
,kuna saa natamani Ole aendelee kubaki kuna saa nachoka ila anyway tumpe nafasi zaidi pengine mazuri yaweza kuja km kwa Klopp
 
Defence hiyo imeruhusu magoli 36, mpaka sasa.

Sawa na magoli waliyoruhusu Shefield united.

Liverpool GA ni 32,
Man city GA ni 35,

Wengine wote wameruhusu goli nyingi kuliko sisi.
Kuna timu ipo top six imeruhusu magoli zaidi ya nusu karne(50+).

Msimu(GA ilikuwa 50+)
uliopita ndio ungesema hivyo ila msimu huu hapana.




2012/2013, Babu SAF. Alibeba EPL timu ikiwa imeruhusu magoli 46.
 
na ukitoa uzembe wa Kipa beki yetu imejitahidi sana msimu huu, kipindi wote 4 wapo fit, Shaw, Maguire, victor na Bissaka tulifululiza clean sheet za kutosha.
 
Nafasi yetu ktk champions league

1.Tukushinda tunafuzu
2.Tukitoa draw tunafuzu

3.Tukifungwa;Hapa inategemea
-->kama tukifungwa alaf chelsea akashinda basi sisi tuapoteza nafasi ya champions league

-->Tukifungwa alaf chelsea akafungwa basi sisi TUNAPITA

SO; me nataka Chelsea AFUNGWE na Wolves alaf sisi tutoe DRAW na Leicester ili sisi na Leicester tungie top 4 alaf Chelsea akacheze Europa


Au wanangu mnasemaje
 
Sisi hatuna shaka sana maana uhakika wa nafasi ya tatu basi tunao.

Ninyi manyumbu tujue moja muko tayari kwenda nafasi yenu ya tano au mupambane mubaki ya nne ...
 
Wanao wakina nani?? Wewe una watoto apa??
 
★Haina kupinga hapo afadhari Leicester City aonjepo utamu wa UEFA Champions League
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…