Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Sanchez ametoa assist na amefunga huko Italy
Aendelee kucheza rede hukohuko ItalyKwahiyo unataka usemeje..Our no 7 arudi sio??
Sanchez ametoa assist na amefunga huko Italy
Aendelee kucheza rede hukohuko ItalyKwahiyo unataka usemeje..Our no 7 arudi sio??
Yeah inabidi tuwe optimistic.. angalau tuanze kuvaa jezi kwa confidence na kukaa vibanda umizaHahahahaha nipogo nafatilia kimya kimya!!! Top 4 ni lazima sweet shaka ondoa,kama kawaida zari litatudondokea naamini tutashinda,ukiona hadi mimi ninetokea hapa ujue tutashinda!!!

Hee!sijaelewa ni nani....labda sababu nafurahi sana for nothing hapa akili haipoNajua unajua nina maanisha nani!
Hee!sijaelewa ni nani....labda sababu nafurahi sana for nothing hapa akili haipo
Nakupigia!
Hata mimi nimeliona hili.Matic ameleta balance na utulivu katika midfield
Hahahahaha nipogo nafatilia kimya kimya!!! Top 4 ni lazima sweet shaka ondoa,kama kawaida zari litatudondokea naamini tutashinda,ukiona hadi mimi ninetokea hapa ujue tutashinda!!!
Timu iongeze juhudi kwenye penetration pass.Point tatu za muhimu sana hizi..saivi ni mwendo wa kwenda bampa tu bampa,atakayezingua anameliwa kichwa anakuwa nje ya top four
✓Martial amekuwa classy..anapambana pia sana kuwa involved kwenye moves nyingi..Big Big Talent.."50m down the drain",press uchwara walisema hivyo tulivyomtoa Monaco
✓Bruno Fernandes kuna kitu ananiboa sana..Mimi naona huwa anataka kila pasi anayopiga iwe wooow..Why asicheze simple pass tu?..hii inapelekea anapoteza mipira kila saa,too sloppy,,mechi hii na ile ya Soton amecheza hovyo..Abadilike aisee
✓McTominay alishindwa kazi kwenye CDM..Replacement proper ya Matic inabidi itafutwe kuanzia sasa
✓AWB poor too
✓Training ya kesho inabidi iwe ya kona tu..haiwezekani kona zetu ziwe za hovyo kiasi kile
✓De Gea,Rashford na Martial wamecheza poa leo
I love you Fernandes
If you see this please give me a like![]()
I love you too
Usisahau Ckelsea nae atamfuata liverIle mechi dhidi ya Southampton dah imetuharibia sana, ila Spurs against Leicester lazima Special One awe mzalendo
Usisahau Ckelsea nae atamfuata liver
Hapo lazima mmoja au wote watafungwa
Naamini Top 4 tunaingia kabla ya kukutana naLeicester