Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sub iliyobaki ni ya kipa kama sikosei, Maana walioingia walikuwa ni Brandon, James, Fred na Scoty... Ya 5 ndio ya kipa
mechi ya sheffield united aliwaingiza ighalo, scott, perreira,mata na james.....
kwa kesi ya jana ni mwalimu mwenyewe alisita kufanya mabadiliko

1594714100400.png
 
Then, OGS made a very stupid mistake

Tukiwa sawa uwanjani walituzidi possession wise, tumebaki pungufu akashindwa kuingiza mtu kulinda goli

Unless kuwe na maelezo mengine
mechi ya sheffield united aliwaingiza ighalo, scott, perreira,mata na james.....
kwa kesi ya jana ni mwalimu mwenyewe alisita kufanya mabadiliko

View attachment 1506286
 
Sotton walicheza vizuri zaidi yetu kwenye umiliki wa mpira, lakini sisi tulicheza vizuri kwenye kutengeneza nafasi, kosa kubwa tulilofanya ni kushindwa kutumia nafasi tulizopata.

Pressing ya Sotton ilitufanya tuwe suffocated, lakini pia Mungu alikuwa upande wao, kwa namna walivyo press walicheza rafu nyingi sana ambazo wangemaliza mechi wakiwa pungufu kwa red card nisingeshangaa

Greenwood kutoonekana. Kitu walichofanya ni bullying kwake, kila alipo pata mpira alizungukwa na wachezaji wa Sotton 3 hadi 4, pia walifika sana miguuni make, Romeu ana bahati sana, alipaswa kupigwa red card kwa rafu mbaya aliyomchezea Greenwood.

OGS ana mapungufu yake, hapa ndipo huwa nina mu admire Jose katika kupata matokeo. Timu inaongoza goli 2 - 1, Greenwood amebanwa sana, kwani usimtoe yeye halafu ukamwingiza Tominay, ili Tominay au Fernandez mmoja acheze namba 7 lakini tunapokuwa hatuna mpira acheze katikati ambapo Sotton walitawala? Ukiwa na Fred, Tominay na Fernandez kwenye kulinda ushindi wako ni bora kuliko ukiwa na James, Fred na Tominay.
Sijui ulikuwa unaangalia mpira gani mkuu ,ila kama ni game ya jana stats hizo hapo mlizidiwa karibu kila kitu,hata hizo rafu unazosema wamecheza nyingi sijui umezitoa wapi,
Ni kukubali tu kuwa mlizidiwa na hao jamaa
Screenshot_20200714-081032.jpg
Screenshot_20200714-081155.jpg
Screenshot_20200714-081051.jpg
 
Me ntamlaumu OGS kwa kumtoa pogba mapema na kuacha kumalizia sub wakat alkuwa anajua timu ishakuwa katika critical situation unacheza na wachezaj 10 bado dk 5 hii n kumdharau mpinzan wako nadhan atakuwa kapata alichokitafuta
 
Uzuri nimeangalia mpira mimi mwenyewe. Soton hawakuwa hatari kwenye robo yetu, mfano mmoja mdogo tu, japo lile shuti la Martial kipindi cha pili lilipaa lakini ile ilikuwa ni nafasi ya hatari zaidi kuliko nafasi yoyote waliyoitengeneza Sotton kipindi cha pili.

Naona hapo kwenye takwimu Man United hawana shot on target second half, sijui ile ya Rashford aliyopiga halafu kipa akacheza na mguu ilikuwa ni nini? Hiyo ni nafasi ya pili kipindi cha pili ambayo ilikuwa ni ya hatari sana kuliko nafasi yoyote waliyoitengeneza Sotton second half

Kwa hiyo ninajua ninachoongea.

Mwisho kwanini tuongelee kipindi kimoja cha mchezo wakati, mchezo wa mpira wa miguu una vipindi 2

Ndio maana kwenye conclusion yangu nimesema Man Utd walikuwa hatari zaidi kwenye kutengeneza clear chances kuliko Sotton, Sotton walichofanikiwa ni kukaa na mpira muda mrefu kuliko United .
Sijui ulikuwa unaangalia mpira gani mkuu ,ila kama ni game ya jana stats hizo hapo mlizidiwa karibu kila kitu,hata hizo rafu unazosema wamecheza nyingi sijui umezitoa wapi,
Ni kukubali tu kuwa mlizidiwa na hao jamaaView attachment 1506325View attachment 1506327View attachment 1506329
 
Uzuri nimeangalia mpira mimi mwenyewe. Soton hawakuwa hatari kwenye robo yetu, mfano mmoja mdogo tu, japo lile shuti la Martial kipindi cha pili lilipaa lakini ile ilikuwa ni nafasi ya hatari zaidi kuliko nafasi yoyote waliyoitengeneza Sotton kipindi cha pili.

Naona hapo kwenye takwimu Man United hawana shot on target second half, sijui ile ya Rashford aliyopiga halafu kipa akacheza na mguu ilikuwa ni nini? Hiyo ni nafasi ya pili kipindi cha pili ambayo ilikuwa ni ya hatari sana kuliko nafasi yoyote waliyoitengeneza Sotton second half

Kwa hiyo ninajua ninachoongea.

Mwisho kwanini tuongelee kipindi kimoja cha mchezo wakati, mchezo wa mpira wa miguu una vipindi 2

Ndio maana kwenye conclusion yangu nimesema Man Utd walikuwa hatari zaidi kwenye kutengeneza clear chances kuliko Sotton, Sotton walichofanikiwa ni kukaa na mpira muda mrefu kuliko United .
Nimeweka takwimu zote za kipindi cha pili na za game nzima mzee,
Angalia vizuri,ila yote ya yote mmedrop point mbili home, mna kibarua na palace ambaye amejeruhiwa mfululizo mpaka Villa kajiokotea , msitegemee mteremko .
 
Sijui ulikuwa unaangalia mpira gani mkuu ,ila kama ni game ya jana stats hizo hapo mlizidiwa karibu kila kitu,hata hizo rafu unazosema wamecheza nyingi sijui umezitoa wapi,
Ni kukubali tu kuwa mlizidiwa na hao jamaaView attachment 1506325View attachment 1506327View attachment 1506329
Kuwa na Possesion sio kuzidiwa kwenye kila idara..Arsenal juzi katawala kwa kukaa na mpira na hakuna alichofanya..Possession inayocreate chances za kufunga ndo possession,otherwise huo ni ujinga

Soton walikuwa na possession isiyokuwa na hatari..
 
Mkuu nimekwambia hizo takwimu kwa mimi niliyeangalia mpira hazinisumbui kwa sababu

Nimeona mechi kwa macho yangu, na Nimeona shot on goal, halafu takwimu inasema hamna shot on goal, kwa hapo tu imenifanya nisiendelee kuangalia aspects nyingine kwenye hizo takwimu ulizopost

Palace ataadhibiwa vizuri sana, kibonde Leicester kampiga 3-0, Liverpool kampiga 4-0, kibonde Chelsea kamfunga goli 3-2, Burnley Jirani yako kwenye top ten kampiga 1-0, Villa mshuka daraja kajipigia 2-0,sasa hapo anaanzaje anzaje kuidindia United.

By the way vipi, harakati zenu za kupambania 10 bora zinaendeleaje mkuu

Nimeweka takwimu zote za kipindi cha pili na za game nzima mzee,
Angalia vizuri,ila yote ya yote mmedrop point mbili home, mna kibarua na palace ambaye amejeruhiwa mfululizo mpaka Villa kajiokotea , msitegemee mteremko .
 
Kuwa na Possesion sio kuzidiwa kwenye kila idara..Arsenal juzi katawala kwa kukaa na mpira na hakuna alichofanya..Possession inayocreate chances za kufunga ndo possession,otherwise huo ni ujinga

Soton walikuwa na possession isiyokuwa na hatari..
Sawa mkuu ila kama ni ujinga what's happen at the end of the game?na nani kaondoka na faida kati ya Soton na United?
Game ya jana ilikuwa na faida sana kubwa kwa United kuliko kwao so end of the day United wanaonekana looser tu, na Ollachuga Oc hana bundle tu atakuja hapa kuwaletea shida
 
Mkuu nimekwambia hizo takwimu kwa mimi niliyeangalia mpira hazinisumbui kwa sababu

Nimeona mechi kwa macho yangu, na Nimeona shot on goal, halafu takwimu inasema hamna shot on goal, kwa hapo tu imenifanya nisiendelee kuangalia aspects nyingine kwenye hizo takwimu ulizopost

Palace ataadhibiwa vizuri sana, kibonde Leicester kampiga 3-0, Liverpool kampiga 4-0, kibonde Chelsea kamfunga goli 3-2, Burnley Jirani yako kwenye top ten kampiga 1-0, Villa mshuka daraja kajipigia 2-0,sasa hapo anaanzaje anzaje kuidindia United.

By the way vipi, harakati zenu za kupambania 10 bora zinaendeleaje mkuu
Kama mpira ungekuwa uajudgewa hivyo basi hili kombe tumpe Chelsea aliyempiga Man city ambaye alimtembezea kichapo cha mbwa koko bingwa Liverpool
Tafsiri yake ni kwamba hata demu akiwa malaya wa kiwango cha lami lakini unaweza ukaenda kumtongoza na akakukatalia inategemea umeenda kwa gia ipi

Oooh kuhusu vita yangu ya top 10 bado napambana na nashukuru sana kwa zile points zako 4 ulizonichangia maana zimesaidia kunifikisha hapa nilipo.
 
Umeonesha uungwana sana mkuu, kushukuru points nilizokuchangia, vinginevyo ungekuwa unanuna Aston Villa akishinda, ungekuwa unanuna Norwich akishinda na ungekuwa unapata hasira Bournamouth akishinda
Kama mpira ungekuwa uajudgewa hivyo basi hili kombe tumpe Chelsea aliyempiga Man city ambaye alimtembezea kichapo cha mbwa koko bingwa Liverpool
Tafsiri yake ni kwamba hata demu akiwa malaya wa kiwango cha lami lakini unaweza ukaenda kumtongoza na akakukatalia inategemea umeenda kwa gia ipi

Oooh kuhusu vita yangu ya top 10 bado napambana na nashukuru sana kwa zile points zako 4 ulizonichangia maana zimesaidia kunifikisha hapa nilipo.
 
Sijui ulikuwa unaangalia mpira gani mkuu ,ila kama ni game ya jana stats hizo hapo mlizidiwa karibu kila kitu,hata hizo rafu unazosema wamecheza nyingi sijui umezitoa wapi,
Ni kukubali tu kuwa mlizidiwa na hao jamaaView attachment 1506325View attachment 1506327View attachment 1506329
Mkuu..nikwambie kitu..kwa mtu aliyeangalia mechi vs ambaye hakuangalia match jana akiangalia hizo stats ulizoweka wanakuwa na impression tofauti kbs..

Kiufupi ni kwamba hizo stats hazi-reflect mpira ulivyokuwa jana.
 
Umeonesha uungwana sana mkuu, kushukuru points nilizokuchangia, vinginevyo ungekuwa unanuna Aston Villa akishinda, ungekuwa unanuna Norwich akishinda na ungekuwa unapata hasira Bournamouth akishinda
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
 
★Angalia alichokisema Ole baada ya Mpira Tena hichi ndicho kilinifanya nisilale nafikiri nimpe adhabu gani huyu jamaa ★


★ Solskjær:
"It was the worst time to concede a goal but it happens in football. We have won so many games in that way. It is all part of the learning for this team.".
Ety mtu mzima kabisa anajitoa kwenye hii dhahma kw kusema " It's Part of Learning " Serious so (Tʖ̯T)

manutd
 
Back
Top Bottom