Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ile mechi waliotukaba walikuwa Pogba na Mason Greenwood hawakuwa mchezoni pamoja na matukio wachache aliyoyafanya pogba.

Martial na Rashford walitupotezea nafasi tatu za kufunga magoli kwa uchoyo wao tu wa kutaka kufunga achilia mbali nafasi ile aliyokosa Rashford akacheza keeper.

Soton walitupigia pindi sana kabla ya kuja kwenye game walichokifanya ni kumtarget Pogba kama weaklink yetu kwa kumkaba na kumnyima space ya kufanya maamuzi.

Walimkaba Bruno asifanye maamuzi kwa haraka lakini wakablock passing lanes zote kwenda kwa Martial na Greenwood.

Kingine waliamua kukabia juu na kuwapress sana centerbacks wetu kiasi cha kutufanya tushindwe kufanya build up kuanzia chini badala yake tukajikuta tunapiga Highballs kwenda mbele hii iliwafanya midfield wetu wawe tortured kutafuta mipira ya juu.

Soton walituwin kwenye kucheza second balls na speed wao ndiyo walikuwa wanaamua matukio mengi uwanjani yaende vipi hii ilikuwa ni hatari sana kwetu hasa wanapofanya transition kuelekea golini kwetu.

Jana Maguire alikuwa kama Amateure mara nyingi kila alichokifanya kilipelekea second balls kwa Soton na kuendelea kutupa pressure kubwa sana wakati wote.

Nani alipaswa kutoka na dakika ya ngapi ? Mimi niliona Greenwood hakufanya kazi yake sawa sawa jana na alipaswa kutoka mapema kabla hata ya Pogba pengine ingesaidia kumfanya Ryan Betrand asionekane shujaa.

By the way Pongezi zangu zangu ziende law Ralph Hassenhuttl huenda aliangalia mara mbili mbili ile mechi yetu na Norwich na akajua madhaifu yetu yako wapi.

Mechi ya jana ilinirudisha nyuma mpaka kwenye finali ya UEFA champions League mwaka 2011 kati ya Bayern Munichen na Chelsea kazi alioufanya Romeu jana ilikuwa haitofautiani na ile aliyoifanya katika mechi ile ya finali.

NB
Nilisema toka mwanzo katika mechi tulizokuwa tumebakiza nilikuwa nawahofia Southampton kuliko timu nyingine yoyote kwa sababu ya historia yao dhidi yetu.
Mkuu narudia tena hii mechi ilikuwa nyepesi kwetu isipokuwa kocha ndiyo kautia ugumu mchezo wa jana, hayo yote uliyoyaandika ni kweli kwamba walikabia juu na walitupa presha lkn hayo yote kayataka kocha kwa kuwapa wachezaji presha zisizokuwa na msingi wowote, ww una pogba una Matic una Bruno zen unawaruhusu vp watoto wadogo wautawale mchezo? Kamshusha Matic chini akawa km beki 5 pogba kamshusha namba 6 icyopanda, mda wote pogba alikuwa nyuma havuki mstari wa kati hapo unategemea kumuona Greenwood? Mipira haifiki mbele utamuona vp Bruno, ofcz jana hata bissaka hakuwa vzr kivile mda mwingi alikuwa anakosea kosea lkn hyo yote alitaka kocha kwa approach yake ya kukaba, mbinu nzr ya kukaba ni kumiliki mpira ss yeye kawatia presha wachezaji mapema unategemea nini hapo? Alipaswa kuwaambia chezeni mpira bila kuangalia historia cz man u ni tm kubwa kuliko Soton, hapo lazima wachezaji wange relax mpira wangeucheza lkn yy kaanza kuwatia hofu matokeo yake wachezaji wakawa wanawaza top 3 kuliko mechi yenyewe.
 
Watu wanapigiwa pira lile home ground utasema wao ndio midtable team dah,,,kuna haja next season mupewe jezi za njano,









Hii United hii ?au UTOPOLO ...UJINGA HUU BWANA
 
Hapa Palace wanahitaji miujiza kuiharibia United kwenye mbio zake za top 3

Hawa Palace wamepigwa mfululizo na Liver, Burnley, Leicester, Chelsea, Villa (ndio ni Villa ya Samata, tena 2-0), kwa hiyo current form ya Palace United wakiruhusu kuvurugiwa nao itakuwa wamedhihirisha mbio za top 4 ni mbio za wanyonge.

Mechi ngumu kwa mtazamo wangu bado ni Leicester, na hii watu hawaitaji. Pamoja na kwamba current form yao ni mbaya, lakini watakapokutana na United watakuwa motivated zaidi, maana United kwao ni direct rival on top 4 spot.

Kwangu kama shabiki wa United kitu kinachonipa kiburi kuhusu Leicester ni kiwango chao duni walichoonesha hivi karibuni na kitendo cha kutokuwa na huduma ya James Madison na Soyuncu (mechi ya Villa alikula umeme) vinginevyo, wao wana timu nzuri na kocha mzuri kuliko Palace na Westham.

Kwa mtazamo wangu, win percentage ya Man Utd kwenye game zilizobaki, Man Utd vs Palace (70% kwa 30%), Man Utd vs Westham (70% kwa 30%) na Man Utd vs Leicester (60% kwa 40%)

Ila game yenu dhidi ya Crystal Palace ndiye mwamuzi mkubwa, mkishinda hiyo nina uhakika top 4 mnaingia.

Maana mna game na Leicester ambao kwa sasa wanafungika.

Leicester ana game na Sheffield, Tottenham and then Man United.

Hatoboi.
 
Wale Southampton wanaitwa "The Saints" maana yake Watakatifu wa Bwana"
Na nyie mnaitwa "Red Devils" maana yake Mashetani wekundu
Tatizo ni mashetani walicheza na watakatifu
Tangu lini Shetani akamshinda Mtakatifu wa Bwana?
 
IMG_8423.jpg
 
Mmepewa nafasi nyingine, wenzetu wanaitwa second chance, ya ku screenshot msimamo, tumia nafasi hiyo vizuri mkuu

Ukichelewa mpaka ifike Julai 22 utakuwa umechelewa mazima
Mkuu hiyo imeisha sahauni nafasi ya tatu labda mbadilishe mawazo muanze kufikiri nafasi ya 4
 
Kabisa Mason jana hakuwa mchezoni kabisa na mwenzake Pogba, ila OG aliamua kubet Fred nae kaingia akapotezwa hakuwa na msaada. Pongezi ziende kwa Saints walitu outsmart , walikuwa bora sana kipindi cha pili.



Ggmu
Ile mechi waliotukaba walikuwa Pogba na Mason Greenwood hawakuwa mchezoni pamoja na matukio wachache aliyoyafanya pogba.

Martial na Rashford walitupotezea nafasi tatu za kufunga magoli kwa uchoyo wao tu wa kutaka kufunga achilia mbali nafasi ile aliyokosa Rashford akacheza keeper.

Soton walitupigia pindi sana kabla ya kuja kwenye game walichokifanya ni kumtarget Pogba kama weaklink yetu kwa kumkaba na kumnyima space ya kufanya maamuzi.

Walimkaba Bruno asifanye maamuzi kwa haraka lakini wakablock passing lanes zote kwenda kwa Martial na Greenwood.

Kingine waliamua kukabia juu na kuwapress sana centerbacks wetu kiasi cha kutufanya tushindwe kufanya build up kuanzia chini badala yake tukajikuta tunapiga Highballs kwenda mbele hii iliwafanya midfield wetu wawe tortured kutafuta mipira ya juu.

Soton walituwin kwenye kucheza second balls na speed wao ndiyo walikuwa wanaamua matukio mengi uwanjani yaende vipi hii ilikuwa ni hatari sana kwetu hasa wanapofanya transition kuelekea golini kwetu.

Jana Maguire alikuwa kama Amateure mara nyingi kila alichokifanya kilipelekea second balls kwa Soton na kuendelea kutupa pressure kubwa sana wakati wote.

Nani alipaswa kutoka na dakika ya ngapi ? Mimi niliona Greenwood hakufanya kazi yake sawa sawa jana na alipaswa kutoka mapema kabla hata ya Pogba pengine ingesaidia kumfanya Ryan Betrand asionekane shujaa.

By the way Pongezi zangu zangu ziende law Ralph Hassenhuttl huenda aliangalia mara mbili mbili ile mechi yetu na Norwich na akajua madhaifu yetu yako wapi.

Mechi ya jana ilinirudisha nyuma mpaka kwenye finali ya UEFA champions League mwaka 2011 kati ya Bayern Munichen na Chelsea kazi alioufanya Romeu jana ilikuwa haitofautiani na ile aliyoifanya katika mechi ile ya finali.

NB
Nilisema toka mwanzo katika mechi tulizokuwa tumebakiza nilikuwa nawahofia Southampton kuliko timu nyingine yoyote kwa sababu ya historia yao dhidi yetu.
 
Sotton walicheza vizuri zaidi yetu kwenye umiliki wa mpira, lakini sisi tulicheza vizuri kwenye kutengeneza nafasi, kosa kubwa tulilofanya ni kushindwa kutumia nafasi tulizopata.

Pressing ya Sotton ilitufanya tuwe suffocated, lakini pia Mungu alikuwa upande wao, kwa namna walivyo press walicheza rafu nyingi sana ambazo wangemaliza mechi wakiwa pungufu kwa red card nisingeshangaa

Greenwood kutoonekana. Kitu walichofanya ni bullying kwake, kila alipo pata mpira alizungukwa na wachezaji wa Sotton 3 hadi 4, pia walifika sana miguuni make, Romeu ana bahati sana, alipaswa kupigwa red card kwa rafu mbaya aliyomchezea Greenwood.

OGS ana mapungufu yake, hapa ndipo huwa nina mu admire Jose katika kupata matokeo. Timu inaongoza goli 2 - 1, Greenwood amebanwa sana, kwani usimtoe yeye halafu ukamwingiza Tominay, ili Tominay au Fernandez mmoja acheze namba 7 lakini tunapokuwa hatuna mpira acheze katikati ambapo Sotton walitawala? Ukiwa na Fred, Tominay na Fernandez kwenye kulinda ushindi wako ni bora kuliko ukiwa na James, Fred na Tominay.

Ile mechi waliotukaba walikuwa Pogba na Mason Greenwood hawakuwa mchezoni pamoja na matukio wachache aliyoyafanya pogba.

Martial na Rashford walitupotezea nafasi tatu za kufunga magoli kwa uchoyo wao tu wa kutaka kufunga achilia mbali nafasi ile aliyokosa Rashford akacheza keeper.

Soton walitupigia pindi sana kabla ya kuja kwenye game walichokifanya ni kumtarget Pogba kama weaklink yetu kwa kumkaba na kumnyima space ya kufanya maamuzi.

Walimkaba Bruno asifanye maamuzi kwa haraka lakini wakablock passing lanes zote kwenda kwa Martial na Greenwood.

Kingine waliamua kukabia juu na kuwapress sana centerbacks wetu kiasi cha kutufanya tushindwe kufanya build up kuanzia chini badala yake tukajikuta tunapiga Highballs kwenda mbele hii iliwafanya midfield wetu wawe tortured kutafuta mipira ya juu.

Soton walituwin kwenye kucheza second balls na speed wao ndiyo walikuwa wanaamua matukio mengi uwanjani yaende vipi hii ilikuwa ni hatari sana kwetu hasa wanapofanya transition kuelekea golini kwetu.

Jana Maguire alikuwa kama Amateure mara nyingi kila alichokifanya kilipelekea second balls kwa Soton na kuendelea kutupa pressure kubwa sana wakati wote.

Nani alipaswa kutoka na dakika ya ngapi ? Mimi niliona Greenwood hakufanya kazi yake sawa sawa jana na alipaswa kutoka mapema kabla hata ya Pogba pengine ingesaidia kumfanya Ryan Betrand asionekane shujaa.

By the way Pongezi zangu zangu ziende law Ralph Hassenhuttl huenda aliangalia mara mbili mbili ile mechi yetu na Norwich na akajua madhaifu yetu yako wapi.

Mechi ya jana ilinirudisha nyuma mpaka kwenye finali ya UEFA champions League mwaka 2011 kati ya Bayern Munichen na Chelsea kazi alioufanya Romeu jana ilikuwa haitofautiani na ile aliyoifanya katika mechi ile ya finali.

NB
Nilisema toka mwanzo katika mechi tulizokuwa tumebakiza nilikuwa nawahofia Southampton kuliko timu nyingine yoyote kwa sababu ya historia yao dhidi yetu.
 
Kushindwa kuhandle pressure na poor management of the game from Ole ndo kilichofanya kupoteze zile point mbili

✓Matic kucheza kama centre half huku Pogba akicheza nyuma sana lilikuwa kosa

✓Angetoka Greenwood na kuingia kiungo (Scot au Fred) tungeendelea poa tu naamini..Pogba na Bruno wangeendelea atleast tungefanya kitu,japo kuwa walikuwa wamechoka kimtindo

✓Kwanini hakufanya Sub ya Brandon?..angeingia ata Bailly

AWB kuna namna ubora wako umecompromise..Anacheza vibaya sana

Martial hizi mechi mbili amepambana sana..That's what we want to see from him..Pure talent


Top four race bado haijaisha na tuendelea kushinda game zilizobaki
 
Baada ya Brandon kuumia, hakuingia mtu sub ziliisha nadhani
Kushindwa kuhandle pressure na poor management of the game from Ole ndo kilichofanya kupoteze zile point mbili

✓Matic kucheza kama centre half huku Pogba akicheza nyuma sana lilikuwa kosa

✓Angetoka Greenwood na kuingia kiungo (Scot au Fred) tungeendelea poa tu naamini..Pogba na Bruno wangeendelea atleast tungefanya kitu,japo kuwa walikuwa wamechoka kimtindo

✓Kwanini hakufanya Sub ya Brandon?..angeingia ata Bailly

AWB kuna namna ubora wako umecompromise..Anacheza vibaya sana

Martial hizi mechi mbili amepambana sana..That's what we want to see from him..Pure talent


Top four race bado haijaisha na tuendelea kushinda game zilizobaki
 
Back
Top Bottom