Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonekana Rashford alimaind kukosa zile chances maana walipotolewa sub wakati Tony anacheka na kufurahi Rashford anatikisa kichwa kwa masikitiko
 
Tatizo la Marcus ni la kisaikolojia zaidi anahitaji msaada. Anataka kuanzia pale pale alipoishia mwezi wa kwanza tarehe 18 mwaka huu alipopata majeraha yaliyomuweka miezi 4 nje ya uwanja. Alikuwa ktk kiwango kikubwa mno ni ngumu kurejea kwa haraka haraka anapaswa kusaidiwa kisaikolojia zaidi, he must slowly bring back his mojo not too fast.

Binafsi namuamini zaidi Marcus kuliko mshambuliaji yeyote yule kati ya tulionao pale kikosini. Ana workrate kubwa sana pia ni mpambanaji. Tofauti na Anthony kabisa ambaye yupo very talented ila mvivu sana sio mpambanaji. Mkizidiwa na mpinzani utamuhitaji zaidi Marcus awe ktk ubora wake kuliko Anthony.

Hapa ndipo ule msemo wa "hard work beats talent, when talent fails to work hard" unapofanya kazi. Marcus (Hard work) v Anthony (Talented but Lazy)
 
Mkuu japo mnasema Rashy hajang'ara lakini mimi nimependa mchezo wake wa jana

Kwanza ni muhimu Tukumbuke kuwa ni mtu ambaye karibu miezi 6 alikuwa hajacheza mechi

Pili, Rashy yule wa kabla ya Corona zile assists mbili alizotoa alikuwa anapiga golini kutafuta goli, jana hakuwa mchoyo
Assist mbili ndio lakini hayupo form mkuu,hata kwa kumuangalia tu yeye mwenyewe hana furaha..He will pick his form though
 
Mkuu japo mnasema Rashy hajang'ara lakini mimi nimependa mchezo wake wa jana

Kwanza ni muhimu Tukumbuke kuwa ni mtu ambaye karibu miezi 6 alikuwa hajacheza mechi

Pili, Rashy yule wa kabla ya Corona zile assists mbili alizotoa alikuwa anapiga golini kutafuta goli, jana hakuwa mchoyo
Hajacheza vibaya mkuu..ila watu wengi tunataka tumuone yule Rashford wa kabla ya Lockdown..Maybe tumekuwa na haraka,ila atarudi hizo level
 
Tumia hii
Bein Match : مشاهدة البث المباشر لمباراة فريق مانشستر يونايتد بمواجهة فريق شيفيلد يونايتد برسم الدوري الإنجليزي الممتاز
Ahsante mkuu Nashukuru niliicheki gem.
 
Swaalamaaaaa humu Manchester United??? tunawasalimia tu LiverpoolFc au Mabingwa msisahau kusema Mabingwa tusivunjiane heshima nyie mnaweza kwenda kutizama History ch hizi za Sports tuachieni kwa sasa tehtehetheteh!!!!
 
Swaalamaaaaa humu Manchester United??? tunawasalimia tu LiverpoolFc au Mabingwa msisahau kusema Mabingwa tusivunjiane heshima nyie mnaweza kwenda kutizama History ch hizi za Sports tuachieni kwa sasa tehtehetheteh!!!!
Huna tofauti na manjukaa.
 
Back
Top Bottom