Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,611
- 4,119
Saa hizi angekuwa anataka sub ya IghaloHuwa analeta msimamo akimwona field martial anawaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Saa hizi angekuwa anataka sub ya IghaloHuwa analeta msimamo akimwona field martial anawaka.

Tumia hiiMkuu mbona haifunguki
Martial vipi mkuu?
Rashford ana shida gani..utilivu hana kabisa..second game hii,,awe serious bhana

miezi 5 bila kucheza mechi, itakuwa inachangiaRashford ana shida gani..utilivu hana kabisa..second game hii,,awe serious bhana
Leo wangetulia ilikuwa 5 au 6 vila. First half si chini ya goli tatu. Anyway point 3 muhimu tumepata.Easy 3 points
Good job Tonny
Norwich jiandae..Tunashuka na nyie jumla jumla J'mosi
Sure..inabidi tuwe clinical zaidiLeo wangetulia ilikuwa 5 au 6 vila. First half si chini ya goli tatu. Anyway point 3 muhimu tumepata.
Fungua jukwaa la Aston Villa mkuuHawa Aston Vila Hamna Kitu Yani Kama Ndanda
Assist 2 halafu unasema kazingua ?Rashid fuadi leo amezingua kweli.
All in all tupo vizuri![]()
Norwich Kwenye FA siyo ?Easy 3 points
Good job Tonny
Norwich jiandae..Tunashuka na nyie jumla jumla J'mosi