Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

✓Pogba ni most talented player we have..Hands down

✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee

✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo

✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason

✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me

✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz

✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason

Next Shiefield United

GGMU
Kwa De Gea nimekuelewa sana.
 
Utasubiri sana kwa kocha wenu mmbovu. Man u kuwa na ole mmeamua kupiga mark time.
Lampard vs Ole 4 loose vs 4 Win

Guardiola vs Ole 1 win vs 3 wins

Klopp vs Ole 1 win vs 1 draw

Mourinho vs Ole 1 draw vs 1 win 1 draw

Ancelloti vs Ole 1 draw

Thomas Tuchel vs Ole 1 win vs 1 win

Antonio Conte vs Ole 1loose vs 1 win


Hebu tupatie record za Lampard mkuu
 
✓Pogba ni most talented player we have..Hands down

✓Rashford na Martial walikuwa rusty today..Tunahitaji striker wazee

✓Pogba na Bruno wameonyesha wanaweza kucheza pamoja..Kazi sasa kwa Ole kukamilisha hicho kiungo

✓James is useless..Greenwood ni lethal kushinda yeye..Tuanze kumwanzisha Mason

✓The form of David de Gea is dropping,and it's really worry me

✓Maguire ile blunder hakupaswa kuifanya..yeye ni kiongozi inabidi awe mfano na sio kucheza kama David Luiz

✓Spurs walikuwa hovyo tu na sisi pia tulikuwa rusty..3 month without football match may be a reason

Next Shiefield United

GGMU
Dah...yaani hujalizika mpaka ukamtaja Luiz
 
Maoni yangu.

Timu langu niliyoona jana naona bado tupo na morali ile ile kabla ya msimu kuwa suspended.

Ila kuna makosa kwenye defensive winga yaani ile mipira iliyokuwa inatua duh sipati picha Pogba angekuwa kiungo wa Tottenham na mipasi yake mirefu tungekufa nyingi tu.

McTomminay jamaa yuko vile vile, Pogba naona anakuja kudai nafasi yake, alikuwa anapanga anafokea mambo yakiwa hovyo akipata mpira anatoa kitu hatarishi, Fred yuko njema hadi nashindwa kujua kikos nani anaanza.

Daniel James apigwe bench Mason Greenwood awe anaanza. Dogo siku hizi anakuwa butu.


Mashabiki wa Arsenal walivyoshangilia kama vichaa goli la kwanza la Tottenham duh!

Nawavizia leo😂


All in all Bado tuko moto, Yaani koswa koswa tulizokuwa tunatoa kwa Tottenham zilinipa raha kuona mashabiki wa Chelsea tumbo joto.
 
Maoni yangu.

Timu langu niliyoona jana naona bado tupo na morali ile ile kabla ya msimu kuwa suspended.

Ila kuna makosa kwenye defensive winga yaani ile mipira iliyokuwa inatua duh sipati picha Pogba angekuwa kiungo wa Tottenham na mipasi yake mirefu tungekufa nyingi tu.

McTomminay jamaa yuko vile vile, Pogba naona anakuja kudai nafasi yake, alikuwa anapanga anafokea mambo yakiwa hovyo akipata mpira anatoa kitu hatarishi, Fred yuko njema hadi nashindwa kujua kikos nani anaanza.

Daniel James apigwe bench Mason Greenwood awe anaanza. Dogo siku hizi anakuwa butu.


Mashabiki wa Arsenal walivyoshangilia kama vichaa goli la kwanza la Tottenham duh!

Nawavizia leo😂


All in all Bado tuko moto, Yaani koswa koswa tulizokuwa tunatoa kwa Tottenham zilinipa raha kuona mashabiki wa Chelsea tumbo joto.
Mourinho alifanya homework yake vizuri sana dhidi ya Daniel James, Martial na Rashford.
 
Back
Top Bottom