Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Nilichojifunza Bruno ni mcheshi,hahahaha jamaa wanazinguana hawa,kwenye ile image wanakabana basi bruno akapost anamwambia" Matic please keep social distance"
Hii ya Ansu fati nahisi ni uongo wa media au agent,
Hakuna kitu hapo mkuu, agents wengi na vyombo vya habari vingi wanaitumia man u kupata pesa, umaarufu, mauzo na kuwapigia chapuo wachezaji wao..Hii ya Ansu fati nahisi ni uongo wa media au agent,
Haiwezekani united wakatae kulipa 100, kwa Sancho, anaecheza left na right wing, pia na AM.
Halafu wakatoe 100 hiyo kwa dogo wa 17 years, ambae hajacheza hata msimu mzima . na anapendelea kicheza left wing.
Vi blog uchwara hivyo..Kila saa United,United..Hii ya Ansu fati nahisi ni uongo wa media au agent,
Haiwezekani united wakatae kulipa 100, kwa Sancho, anaecheza left na right wing, pia na AM.
Halafu wakatoe 100 hiyo kwa dogo wa 17 years, ambae hajacheza hata msimu mzima . na anapendelea kicheza left wing.