Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahaha jamaa wanazinguana hawa,kwenye ile image wanakabana basi bruno akapost anamwambia" Matic please keep social distance"
Nilichojifunza Bruno ni mcheshi,
Kuna kipindi kabla ligi haija simamishwa Martial alikuwa anamwambia hata score goli kwa assist yake(bruno).

Mfano lile goli la Martial mechi ya 3-0 vs Watford.
Jamaa inaonekana atakuwa na impact dressing room, ukiachana na uwanjani.
 
Hii ya Ansu fati nahisi ni uongo wa media au agent,

Haiwezekani united wakatae kulipa 100, kwa Sancho, anaecheza left na right wing, pia na AM.
Halafu wakatoe 100 hiyo kwa dogo wa 17 years, ambae hajacheza hata msimu mzima . na anapendelea kicheza left wing.
Hakuna kitu hapo mkuu, agents wengi na vyombo vya habari vingi wanaitumia man u kupata pesa, umaarufu, mauzo na kuwapigia chapuo wachezaji wao..
 
Kumbe korona bado tishio
Screenshot_2020-06-09_225836.jpg
 
Back
Top Bottom