Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_0218.JPG

Picha ya siku
 
Aisee hata mimi natamani sana tuboreshe huu upande wa kulia kuliko kitu chochote..Tukimsign Sancho tutakuwa tumefanya big moves..

Hata mm naona hivyo ukizingatia kuna martial,rashford,ighalo na greenwood pia kuna wakina angel gomes na chong hawawez kuendelea kusubir kule yatakuwa ya pogba ni bora kumuacha harry kane kwa sababu hao madogo toka waanze kucheza na ujio wa bruno ufungaj kidogo sio tatizo ni suala la mtu wa spid kama james
 
Hata mm naona hivyo ukizingatia kuna martial,rashford,ighalo na greenwood pia kuna wakina angel gomes na chong hawawez kuendelea kusubir kule yatakuwa ya pogba ni bora kumuacha harry kane kwa sababu hao madogo toka waanze kucheza na ujio wa bruno ufungaj kidogo sio tatizo ni suala la mtu wa spid kama james
Wewe jamaa haueleweki unachotaka juzi juzi hapa ulisema tunahitaji kusajili wachezaji calibre ya Neymar, Mbappe Harry Kane & Co na ukatanabaisha kuwa timu yetu imejaa watoto wengi leo tena unakuja na hoja ya kuwakubali watoto kina Chong,Gomez, Greenwood!!!
Au wameshakuwa watu wazima tayari ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Grealish ana tofauti ndogo sana na Hazard mkuu....ubora wa Hazard kila mmoja anaujua....Grealish ana 24 yrs, Pogba 27...kuna kila dalili Pogba hataki kusalia United tena....nadhani humjui vizuri Grealish ana uwezo wa kukaba pia.....anaweza kucheza kwenye mfumo wa viungo wa tatu akiwa upande wa kushoto nyuma ya Rashford....Rashford akiingia ndani kidogo...
Ulianza kumfuatilia Grealish lini?

Au wakati Samatta anaenda Aston Villa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa haueleweki unachotaka juzi juzi hapa ulisema tunahitaji kusajili wachezaji calibre ya Neymar, Mbappe Harry Kane & Co na ukatanabaisha kuwa timu yetu imejaa watoto wengi leo tena unakuja na hoja ya kuwakubali watoto kina Chong,Gomez, Greenwood!!!
Au wameshakuwa watu wazima tayari ???

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha umenchekesha sana ulivyohoji kama wameshakuwa watu wazima ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Uholanzi wamefuta msimu kabisa,

Ufaransa Serikali imesema hadi Septemba ndio kuna uwezekano wa League 1 na League 2 kurejea hata mechi kuchezwa bila mashabiki

Uingereza vifo na maambukizi ndio vimeongezeka kwa kasi kubwa wiki hii

EPL kurudi bado ni mtihani wakuu

Watu wanaendelea kupigania uhai, hivyo soka haiwezi kupewa kipaumbele kwa sasa

Tuendelee kujiahadhari kwa mbinu za kisayansi dhidi ya Covid 19, lakini tusisahau kumuomba Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Uholanzi wamefuta msimu kabisa,

Ufaransa Serikali imesema hadi Septemba ndio kuna uwezekano wa League 1 na League 2 kurejea hata mechi kuchezwa bila mashabiki

Uingereza vifo na maambukizi ndio vimeongezeka kwa kasi kubwa wiki hii

EPL kurudi bado ni mtihani wakuu

Watu wanaendelea kupigania uhai, hivyo soka haiwezi kupewa kipaumbele kwa sasa

Tuendelee kujiahadhari kwa mbinu za kisayansi dhidi ya Covid 19, lakini tusisahau kumuomba Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ligi kwa epl ndo imeshaisha hiyo
 
Naona Uholanzi wamefuta msimu kabisa,

Ufaransa Serikali imesema hadi Septemba ndio kuna uwezekano wa League 1 na League 2 kurejea hata mechi kuchezwa bila mashabiki

Uingereza vifo na maambukizi ndio vimeongezeka kwa kasi kubwa wiki hii

EPL kurudi bado ni mtihani wakuu

Watu wanaendelea kupigania uhai, hivyo soka haiwezi kupewa kipaumbele kwa sasa

Tuendelee kujiahadhari kwa mbinu za kisayansi dhidi ya Covid 19, lakini tusisahau kumuomba Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hyo ya September means ni msimu mpya. Ya msimu huu wameifuta na suala la ligi imeishaje, bingwa yupo au hayupo, timu zitashuka na zingine kupanda n.k itajulikana mwezi Mei baada ya maafisa Wa chama chao cha soka kukaa kikao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom