Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Imekuwa km mti wa X mas
Levy ni mhuni sana aiseeNamchukia levy kama nimchukiavyo Mino Raiola
ligi haijafutwa tu liva asibebe ubingwa

Klabu ya Shanghai Shenhua ya hapa China imetoa ofa ya kumuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wake Odion Ighalo (30) ambaye anacheza kwa mkopo Manchester United. Mkataba wa sasa ulikuwa unamalizika mwaka 2022, lakini Shanghai baada ya kuridhika na kiwango chake cha hivi karibuni, wanataka kuendelea kummiliki Mnigeria huyo hadi mwaka 2024, kwa malipo ya paundi 400,000 kwa wiki. Kwa upande wake Ighalo anachusubiri ni ofa itakayotolewa na Man United baada ya mkopo wake kumalizika mwezi Juni mwaka huu kwani imekuwa ni ndoto yake ya maisha kukipiga kwa mashetani hao wekundu wa Jiji la Manchester.
kwa huo mshahara naitema united maana miezi sita yanitosha kabisa pale traffordKlabu ya Shanghai Shenhua ya hapa China imetoa ofa ya kumuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wake Odion Ighalo (30) ambaye anacheza kwa mkopo Manchester United. Mkataba wa sasa ulikuwa unamalizika mwaka 2022, lakini Shanghai baada ya kuridhika na kiwango chake cha hivi karibuni, wanataka kuendelea kummiliki Mnigeria huyo hadi mwaka 2024, kwa malipo ya paundi 400,000 kwa wiki. Kwa upande wake Ighalo anachusubiri ni ofa itakayotolewa na Man United baada ya mkopo wake kumalizika mwezi Juni mwaka huu kwani imekuwa ni ndoto yake ya maisha kukipiga kwa mashetani hao wekundu wa Jiji la Manchester.
Money first sio??kwa huo mshahara naitema united maana miezi sita yanitosha kabisa pale trafford
Chakula kinaishia kwenye zile nywele.Tatizo la huyu Tahit Chong ni chakula hali.
Acha masihara! Mkuu umeweka na kiulizo kabisa huko mwisho wa sentensi yako!?
Corona ishaharibu kila kitukwa huo mshahara naitema united maana miezi sita yanitosha kabisa pale trafford
Harry Kane.
Naona hafurahishwi na uwepo wa Mourinho Spurs ila hataki kuwa wazi na huenda anataka changamoto mpya kama kuna timu zitapambana kumnunua Kane basi Manchester United ina nafasi kubwa sana ya kumchukua Harry Kane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Mimi nikishamfikiria Daniel Levy naona kabisa United haiwezi kumnunua Kane. Naamini hivyo 100%Harry Kane.
Naona hafurahishwi na uwepo wa Mourinho Spurs ila hataki kuwa wazi na huenda anataka changamoto mpya kama kuna timu zitapambana kumnunua Kane basi Manchester United ina nafasi kubwa sana ya kumchukua Harry Kane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Mimi nikishamfikiria Daniel Levy naona kabisa United haiwezi kumnunua Kane. Naamini hivyo 100%