ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Breaking news;POGBA KUBAKI UTD!??
kuna taarufa zimetoka kwamba kuna uwezekano wa pogba kubaki UTD 7bu ya kutokuwa na suitor aliye tayari kulipa dau kubwa kumnunua na Kumlipa mshahara mkubwa atakao utaka..
Kwa kukumbushia JUVE pekee ndo panaonekana ni likely destination ya pogba since Madrid walishajitoa kwny mbio za kumnunua kutokana na kina bwana mdogo Valverde kukichafua pale kati..
My take; Muda utatupa majibu..tuwe wavumilivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona impactCorona Corona Corona Virus
Anakaribia kutuharibia shughuli
Baada ya mechi kuanza kuchezwa bila mashabiki huko Italia, sasa mechi zimeahirishwa mpaka April
Mechi ya UCL kati ya Barca VS Napoli itachezwa bila mashabiki
Dalilizinaonesha ligi nyingi zitaahirishwa hiki kirusi kikiendelea, nimesikia mmiliki wa Nottingham forest amejitangaza kuwa ana kirusi na amejitenga na jamii (sijui yupo Uingereza? )
God forbid hiki kirusi kisiendelee kutamba, watu wanaendelea kufa na ligi za soka/michezo zinaweza kusimama mashabiki tukakosa utamu wa burudani ya soka
Ligi inaweza kuwa canceled Liverpool wasichukue ubingwa, Man Utd tusiingie top 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba hatacheza tena Man u anasubiri dili la uhamisho likamilike. Man u ni timu yenye umama ndani yake
Sent using Cash Money Wings
Kwenye contenders bado sana.
Miaka ya hivi karibuni ili uwe bingwa inabidi margin ya makosa iwe ndogo sana, kitu ambacho kwa kikosi chenu bado.
Ili Bruno au Pogba wafanye vizuri ni lazima acheze free role.
Sasa kuwachezesha pamoja itakuwa risk sana defensively.
Nachokiona mm Pogba akipona huenda DMs mmojawapo atakuwa sacrificed au Bruno atakuwa forced kucheza right wing au Bruno Fernandez atakuwa rested.
Ngoja tuone Solkjaer atakuja na plan gani ya kuaccomodate wote wawili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna kosa ambalo atalifanya OGS na kuharbu hii momentum ya team na dressing room ni kujarbu kumuaccomodate Pogba kwa expenses ya wachezaji wengne.
Team kwa sasa iko very stable kuanzia beki mpka ushambuliaji hata Martial japokua mvivu ila anafunga na kusaidia team
Bruno ameleta balance kubwa kwenye team kias kwamba unaona wachezaj wote wana morali ya kuitumikia team kwa moyo wote.
Pogba ni mchezaji mzur tena mzur sana ila kwa Manchester united ya sa hv tunahitaji team work kuliko uzur wa mchezaji mmoja mmoja
Chukua mfano Fred the Red maumivu ya Pogba yamemfanya awe mchezaji ambae ametumika msimu huu wote bila kuchoka na tunaona ambacho ana offer kwa Team, Matic katoka majeruh amerud kwenye form kubwa sana kias kwamba midfield yetu sasa hv tunaamua tucheze mfumo gan na upi kwa maana tuna wachezaji ambao wanakupa kila kitu kwa ajili ya Team.
Pogba anatakiwa atambue kwa sasa uhitaji wa Manchester united kwake sio mkubwa kama kipind tunaanza msimu so anatakiwa ku prove kwel anadeserve kuanza kwa kuonyesha kiwango bora, Inshort tunasema kila mtu ashinde mech zake on midfield battle na sio jina.
Ningekuwa kwenye nafasi ya OGS Pogba ningempa nafas kama ambavyo wengne wanapewa akiwa flopp anapigwa bench kusubiri wenzie wamuonyeshe umuhimu wa kuichezea Manchester United, na ikifika Jully ntammuliza unahitaj kupigania namba na team au kusepa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipocheza brandon william ndipo atacheza kiungo mwingine pogba na bruno kukaa bench ni ngumu au kuanzia bench matic na fred combination nzur sana scott ataanzia bench
Kuna mifumo mkuu badala ya kutumia mawinga ama wingback inatumia midfield wa kulia na kushoto mfano ni kama alioutaja mdau huko juu 4-4-2 diamond ama ule tulioutumia na Everton 4-3-1-2
Kuna mifumo mkuu badala ya kutumia mawinga ama wingback inatumia midfield wa kulia na kushoto mfano ni kama alioutaja mdau huko juu 4-4-2 diamond ama ule tulioutumia na Everton 4-3-1-2
Sababu ya uhaba wa mawinga, majeruhi ya Rashford na Form ya James pogba akirudi naamini Ole atatumia mifumo inayo Accomodate midfielder wengi zaidi.
(4-3-1-2)
De Gea
AWB, lindelof,Maguire, Shaw
Matic, Fred, Pogba
Fernandes
Martial, Rashford
Ila kwa matic ataanza scott atasubir bench uzoefu ni muhimu sana
Nafikir unapata ka picha kidogo hapo juu
Wengi tunaopingana na Pogba tunapingana naye kwa attitude zake..Na kama unavyojua Pogba ana big Personality kwahiyo kuharibu dressing room ni sekunde tuWote mnaodhani Pogba hana nafasi Man United mmefeli katika hilo. Pogba ni mchezaji mzuri na mchango wake ameuthibitisha mara nyingi sana. Pogba amekuwa akijitahidi sana kupambana kadiri ya uwezo wake akiwa chini ya Mourinho [Kocha ambaye kwa sasa ni vigumu sana kucheza kwenye kiwango chako cha juu ukiwa chini yake,ukikataa wewe.. Alexis Sanchez, Henrikh Mkhitaryan, na Anthony Martial watanisupport katika hili]
Paul Pogba ni mchezaji ambaye amekuwa akitegemewa sana washabiki kufanya mambo makubwa kwenye timu ambayo ilikuwa inapitia changamoto nyingi sana hususan kwenye nyakati ngumu. Hili lilipelekea Pogba abakie ndiye mchezaji pekee ambaye macho yote ya washabiki yapo kwake, alitegemewa sana abadilishe matokeo na kuthibitisha kuwa yeye anastahili kubeba uzito wa heshima aliyopewa na club.
Ngoja niweke sawa jambo moja hapa, katika siku za nyuma kidogo, sio Pogba ndiye aliyetufanya tucheze kiwango cha chini, tatizo lilikuwa ni team na management kwa ujumla. Katika ule wakati nakuhakikishieni kuwa hata hata Bruno Miguel Fernandez angekuwa Man Utd, mngemkataa tu! In other words, B. Fernandez ni mchezaji sahihi, kwenye timu sahihi, kwa wakati sahihi.. na ninaweza kusema hiyo imekuwa ni bahati nzuri kwake pia.
Naomba niweke hivi mtazamo wangu.. mshabiki kwa sasa, tunatakiwa tutulie tuwaamini wachezaji na kocha wetu Ole Gunner Solskjaer, waijenge timu kwa pamoja, tuachane na chuki juu ya wachezaji wetu. Lazima tuwe na subira, Roma haikujengwa kwa siku moja. Haya mambo sio mageni, hata Sir. Alex Ferguson kashapitia changamoto nyingi sana zaidi ya huyu OGS. Lakini baada ya kuamininiwa kwa kupewa muda aliweza kuijenga Man United anayoitaka yeye, na sisis tukaipenda, ndio hii tunayohangaika nayo hivi sasa tena.
Keep Calm, Pogba atatulia, atapambana na wenzake, na sote tutampenda.
Na kawa linawaathiri wachezaji wenzake je??Okay... nimekuelewa mkuu!
What if Paul akiendelea kukaa kimya nevertheless his either brother or boss are talking towards his heritage with the club, move on with his off-pitch personal stuffs, but when it comes to the match on the pitch anakichafua na analink vizuri na wachezaji wenzake na team inaperform zaidi ya hata saivi...? What will be your concern anyway?
Wengi tunaopingana na Pogba tunapingana naye kwa attitude zake..Na kama unavyojua Pogba ana big Personality kwahiyo kuharibu dressing room ni sekunde tu
Angekuwa ni mtu anayejali na kuipenda hii timu yetu angefanya yafuatayo;
✓Angejitokeza kupinga kauli za kaka yake ambaye amekuwa akiongea na Media kuhusu mdogo wake kutaka kuondoka United
✓Angemkanya wakala wake roporopo maana yeye ndo bosi wake..Vijana wanapambana waingie Top Four wakala wake anaanza kuleta stori za kuwa mteja wake yupo kwenye timu isiyokuwa na structure ya kueleweka..Like serious??
✓Yupo tayari kuwaza kuhusu Kucheza Euro's kuliko kuipambania timu inayomlipa mpunga wa kutosha na kumpa maisha..Refer surgery aliyoifanya..kulikuwa kuna uwezekano wa kufanyika baada ya season kuisha
Pogba ni mchezaji mzuri mwenye talent kubwa lakini tunahitaji mengi zaidi kutoka kwake..I'm keen to see how we shall handle him when he will be fit..Ole inabidi aonyeshe maturity yakutosha na sio kumremba remba
Na kama nilivyosema jana"kwa sasa Pogba anatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyomuhitaji"..so it is up to him kuonyesha kuwa anahitaji kubaki na kupambania timu..Otherwise sitojali akipigwa bei,maana tunaweza kuongeza wachezaji na tukaimarika zaidi bila yeye
Just an opinion
Breaking news;POGBA KUBAKI UTD!??
kuna taarufa zimetoka kwamba kuna uwezekano wa pogba kubaki UTD 7bu ya kutokuwa na suitor aliye tayari kulipa dau kubwa kumnunua na Kumlipa mshahara mkubwa atakao utaka..
Kwa kukumbushia JUVE pekee ndo panaonekana ni likely destination ya pogba since Madrid walishajitoa kwny mbio za kumnunua kutokana na kina bwana mdogo Valverde kukichafua pale kati..
My take; Muda utatupa majibu..tuwe wavumilivu.
Sent using Jamii Forums mobile app