Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Tunasajili kwa force pale tunapokuwa kwenye hali ngumu..Kila nikiangalia kiwango cha Bruno na jinsi Manchester walivyosuasua kumsajili japo walikuwa hawana upinzani toka timu zingine kubwa, naona pale Man U kuna shida sana na uongouongo mwingi
Mfano tukifanikiwa kuingia Top four sitoshangaa tusiposajili RW kama Sancho hivi..
Hili ni tatizo..
Bruno ndo ana control team inavyocheza going foward..Last fixture hakua poa sana,ila leo inabidi aendelee kuproduce something decent ili atleast tufanye kitu Vs Pep's City
GGMU
MANCHESTER COMBINED XI 

