OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Awa wakishashinda mechi mbili tatu wana anza na ratiba za kubeba ubingwa ...utashangaa "tukishinda gemu saba mfululizo ubingwa wetu" hahaha ...kwa iyo ni kuyaombea njaa yaendelee kupigwa pigwa tu...HONGERENI KWA KUSHINDA MECHI JANA.
CHELSEA HATUNA ROHO YA KWANINI, TUNAWAPONGEZA
KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE ZILIZOBAKI.
SHUBAAAAAMIT ZENU JANA MMEOKOTA POCHI YA MZUNGU
Sent using Cash Money Wings


Cantwell namwona wa kawaida sana (anahitaji uangalizi baada ya kusajiliwa)bado hajaiva vizuri kama Grealish ambaye anakuletea impact ya moja kwa moja kama BF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona sasa ndo ujinga wenu huu unawaza nafasi ya tatu wakati ata ya tano ujafika...What a way to put pressure on Chelsea on top four race
Bruno
Ighalo goli halipo mbali
Greenwood best finisher at United
Fred & Matic katikati ya uwanja
Ushindi wenye cleansheet unanoga sana
Point 9 kutoka nafasi ya 3, point 3 kutoka nafasi ya 4
Consistence is all we need
Sent using Jamii Forums mobile app


Hii Man united haiendi popote ..nafasi yenu itakuwa ya sita msimu huu..
Sent using Jamii Forums mobile app


Unamaanisha ana pooza mashambulizi?namwona ni team player ambaye yupo dedicated sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kwa timu inayohitaji kufanya quick transition kama man united kwa ule uchezaji wa Grealish tutaweza kweli ?
Au kwa sababu Aston Villa wanacheza deep sana ndiyo maana na yeye anafanya hivyo kusubiri wenzake wapande.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona sasa ndo ujinga wenu huu unawaza nafasi ya tatu wakati ata ya tano ujafika...
Wewe huwezi presha yeyote kwenye club kubwa na tajiri kama Chelsea sahau ilo...
Sisi tutaendelea kucheza uefa kwa misimu mingine saba zaidi ...Spurs akikaa sawa anakushuka tu...
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Harry Gregg (Manchester United Goalkeeper Legend)Jana vitambaa vyeusi vilivaliwa , kulikua na maombolezo ya nani?
Nawaza akikaa pale bruno na pogba hapo kati hahaha ngoja tuone. Magoli ya leo mazuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
We mdau uliesema hujutii kutomsajili halland instead of greenwood ivi halland wamjua au wamsikia?
mpaka greenwood afikie uwezo wa halland tayari yule jini yupo top three ya wagombea balon d'or
Wakala wa mchezaji aliweka vipengele vya kiuni kina matt judge/woodward wakagoma kumsajiri alafu dogo hana mapenzi na utd bcoz ilimpasa amwambie raiola alegeze hili dili likamilike refer kwa bruno kwa mendes
Tumpe muda greenwood kwasababu ni cha kwetu, dogo anajua
Tatizo timu yetu bado haijakaa sawa ndio maana baadhi ya vipaji tunaviona vya kawaida, wew jaribu kuwaza huyu greenwood awekwe mbele kwenye timu yenye muunganiko kama RB leipzig, mancity, liver au hata iyo dortmund what wil happen
Sent using Jamii Forums mobile app