Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moto huo huo.


Ila binafsi naona Ighalo ni bora kwenye kufight mbele kuliko Martial kross za James zililenga hili bishoo.


Bruno Fernandes anafurahisha yaani ashakuwa fighter kuliko Perreira na Lingard. Muhimu Point 3 kila mechi.



Huyu Chong washamwambukiza Ubnafsi nashukuru Greenwood sio mbinafsi kivile.


Rashford licha ya Ubinafsi ila sio mzembe kirosi za kukatiza golini anapambana aziingize.
 
We mdau uliesema hujutii kutomsajili halland instead of greenwood ivi halland wamjua au wamsikia?
mpaka greenwood afikie uwezo wa halland tayari yule jini yupo top three ya wagombea balon d'or

Hahaha. Imebidi nicheke eti yule Jini. Ila Haaland ni noma yule dogo a fox in the box a pure number 9 deadly striker huwezi fananisha na Greenwood wetu bado anahitaji muda lufika peak kama ile.
Majuto ya Haaland hayatafutika milele unless tumsajili akitoka Dortmund
 
We mdau uliesema hujutii kutomsajili halland instead of greenwood ivi halland wamjua au wamsikia?
mpaka greenwood afikie uwezo wa halland tayari yule jini yupo top three ya wagombea balon d'or
Hahaha. Imebidi nicheke eti yule Jini. Ila Haaland ni noma yule dogo a fox in the box a pure number 9 deadly striker huwezi fananisha na Greenwood wetu bado anahitaji muda lufika peak kama ile.
Majuto ya Haaland hayatafutika milele unless tumsajili akitoka Dortmund
Wakala wa mchezaji aliweka vipengele vya kiuni kina matt judge/woodward wakagoma kumsajiri alafu dogo hana mapenzi na utd bcoz ilimpasa amwambie raiola alegeze hili dili likamilike refer kwa bruno kwa mendes

Tumpe muda greenwood kwasababu ni cha kwetu, dogo anajua

Tatizo timu yetu bado haijakaa sawa ndio maana baadhi ya vipaji tunaviona vya kawaida, wew jaribu kuwaza huyu greenwood awekwe mbele kwenye timu yenye muunganiko kama RB leipzig, mancity, liver au hata iyo dortmund what wil happen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina furaha sanaaa, haya mavitu yalikua wakati wa sir alex

Toka aje bruno timu yetu imebadilika sana, kila mchezaji anajitoa %

Bruno + Maguire hii ni raha ya kusajiri wachezaji wanaojielewa, corona virus pogba he must learn

Leo OT wameimba jina la bruno, kawa kipenzi cha fans, tuwaongeze pesa sportnglisbon tu

Mason greenwod kila nikimuangalia hainiumi kutomsajiri halland

Kule nyuma kwa kina maguire sina cha kuzungumza

Lile goli la martial ngoja nikalinywee serengeti lite za moto

Scot karejea

Lingard/pereira nina imani walikua wanatazama game kwenye tv, wanachakujifunza kwa fundi master pass bruno

Rashfod na corona virus pogba tunawasubiri mpone, msijiharakishe hakikishen mnapona %


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani bora tubadilishane wachezaji.Sisi tumchukue yule wa Norwich anayevaa jezi namba 14 sisi tuwape Lingard

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cantwell namwona wa kawaida sana (anahitaji uangalizi baada ya kusajiliwa)bado hajaiva vizuri kama Grealish ambaye anakuletea impact ya moja kwa moja kama BF.
Nasikia Liverpool wanamuwinda huyo kinda anaitwa Owen Cantwell, mimi huwa nashangaa watu wanamuona Grealish ila hawamuoni huyu mwamba wa Norwich.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew unaeona greenwood anafaa kuliko lile jini halland ana game 8 bao 12 Huko dortmund
halland yule ni shida anfunga Sana. Ad sas mech alizochez Dortmund kafunga

Pia kinachomsaidia dogo Dortmund hain pressure kubwa is kma timu za epl man untd au Liverpool or Tottenham ambazo mashabiki wake always they put pressure to players

So dogo alifanya maamuzi sahihi kulinda kiwango chake
 
Back
Top Bottom