Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Waliowahi kumbeMkuu mimi sijawajua, ni timu gani hiyo? Ni wale waliwahi kupigwa 8?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliowahi kumbeMkuu mimi sijawajua, ni timu gani hiyo? Ni wale waliwahi kupigwa 8?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe bhana ole ni wa kunyofolewa hapo!Klop kafungwa juzi na Atletico na Mourinho kafungwa na Totenham tena nyumbani na wao hawafai?
Ugenini ulitaka matokeo ya aina gani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bange yako unayotumia ni kali sana.Lingard has more goals this year than Coutinho, Sterling and Lacazette combinedView attachment 1363962
Ahahaa!!
Sawa
Sawa
Nimeona nimuache alivyo na anavyofikir mana kila mmoja ana mtazamo wake...ila kitu kinaonekana wazi kbs kwamba Ole ni kilaza!Mwambie huyo mkuu liver katingwa na atletico Madrid na Tothenham kufungwa nasikia rb reipzig je hizo timu unaweza kufananisha na brugge is he mad
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa shabiki wa Mourinho.Nimeona nimuache alivyo na anavyofikir mana kila mmoja ana mtazamo wake...ila kitu kinaonekana wazi kbs kwamba Ole ni kilaza!
Hahahaaahhh duuh chief mkwawa ebu njoo ukuNshasema na bado naendelea kusema Ole ni wa kufukuzwa pale united ila huyu Chief mkwawa daily anampigia promo kwamba anafaaa!!
Ole ni mjinga!
Wewe Chief mkwawa Ole hafai pale united
Mwambie huyo mkuu liver katingwa na atletico Madrid na Tothenham kufungwa nasikia rb reipzig je hizo timu unaweza kufananisha na brugge is he mad
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoteza muda wako humu kutoa ushauri kwa timu iliyokufunga Mara 3 kwa Season moja kweli,Huu ujasiri umeupata wapi wewe Kijana.Ole ni kocha bora aisee, kwenye mechi anakaa kwenye kiti Muda Wote halafu amekunja 4, huku wachezaji wake wanagawa dozi uwanjani. LINAOGOPESHA
Inawezakana Ole ni mzuri sana mazoezini, wachezaji wanaelewa vizuri na haraka mbinu zake, kwenye mechi ni kudeliver tuu.
Ole anaangushwa na wachezaji kuwa majeruhi, wachezaji wanaocheza chini ya kiwango na inaonekana ole sio mkali kwa wachezaji.
Kuna wachezaji wanafanya mambo ya kitoto sana, ole ajitahidi kuwa mkali kwa wachezaji.
Mpeni muda zaidi atawarudisha kwenye makali yenu.
Sent using Cash Money Wings
Unapoteza muda wako humu kutoa ushauri kwa timu iliyokufunga Mara 3 kwa Season moja kweli,Huu ujasiri umeupata wapi wewe Kijana.









Kufungwa kwa Klopp kuna halalisha vipi kufungwa kwa Ole?Klop kafungwa juzi na Atletico na Mourinho kafungwa na Totenham tena nyumbani na wao hawafai?
Ugenini ulitaka matokeo ya aina gani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuwa jazba am sorry, najua inabidi tuheshimu mawazo yako...
Mkuu ilikuwa jazba am sorry, najua inabidi tuheshimu mawazo yako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa kwa Klopp kuna halalisha vipi kufungwa kwa Ole?
Klopp amechukua UCL msimu jana. Sahivi anaenda chukua EPL.
Ole hata top 6 hataingia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu today sipo vzuri siunajua mabeberu wanavyojua kukutoa kwenye reli kisa kitu kidogo![]()
Sent using Jamii Forums mobile app