Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Team News
Scot Mc Tominay amerudi kwenye kikosi, akifanya mazoezi kamili (full training) na wenzake. He is the worior, siku zote amekuwa akirudi mapema kikosini kuliko inavyotazamiwa kila mara anapopata injury. Amekaa wiki 6 badala miezi 2 iliyotazamiwa. Hata hivyo hajaonekana akipanda ndege kwenda Ubelgiji
Lindelof amefanya mazoezi na kikosi cha kwanza, hii ni baada ya kushindwa kucheza mechi ya Chelsea. Lindelof amesafiri na kikosi kwenda Ubelgiji kuwakabili Club Brugge
Ighalo, Fernandez na Bishop wachezaji 3 waliosajiliwa katika dirisha dogo wote wameshiriki katika mazoezi ya mwisho leo kabla ya kwenda Ubelgiji na wote wamekwenda na kikosi.
Rashford, Tuanzebe, Fosu Mensah na Kirusi bado hawajawa fit kiasi cha kushiriki mazoezi ya kikosi na kujumuishwa kwenye kikosi cha timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Scot Mc Tominay amerudi kwenye kikosi, akifanya mazoezi kamili (full training) na wenzake. He is the worior, siku zote amekuwa akirudi mapema kikosini kuliko inavyotazamiwa kila mara anapopata injury. Amekaa wiki 6 badala miezi 2 iliyotazamiwa. Hata hivyo hajaonekana akipanda ndege kwenda Ubelgiji
Lindelof amefanya mazoezi na kikosi cha kwanza, hii ni baada ya kushindwa kucheza mechi ya Chelsea. Lindelof amesafiri na kikosi kwenda Ubelgiji kuwakabili Club Brugge
Ighalo, Fernandez na Bishop wachezaji 3 waliosajiliwa katika dirisha dogo wote wameshiriki katika mazoezi ya mwisho leo kabla ya kwenda Ubelgiji na wote wamekwenda na kikosi.
Rashford, Tuanzebe, Fosu Mensah na Kirusi bado hawajawa fit kiasi cha kushiriki mazoezi ya kikosi na kujumuishwa kwenye kikosi cha timu
Sent using Jamii Forums mobile app