Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

nimekifuata mbali kingamuzi cha startimes ili nicheki mechi na nilicho kishuhudia ni ushubwada tokea dakika ya kwanza hadi alipoingia Fred na Fernandes atleast
 
Hii mechi tulistahili kushinda. Tunamlaumu kocha sababu timu inapoteza ovyo mipira na kucheza kikuda kocha amekunja nne hii inawafanya madogo wasiwe na wasiwasi wa kupigwa sub au kumiss next match kisa kiwango kibovu. Kocha anatakiwa kukemea kwa ukali na kupressure kila mchezaji atimize jukumu lake kwa kiwango safi.



Ole Jinga sana.


Sub zenyewe dakika za Majeruhi.
 
nimekifuata mbali kingamuzi cha startimes ili nicheki mechi na nilicho kishuhudia ni ushubwada tokea dakika ya kwanza hadi alipoingia Fred na Fernandes atleast


Bora wewe mimi kesho nina UE ila nimesacrifice muda nicheki Mechi nakuta ukuda uliotukuka.

Ilionekana wazi Brandon amechoka Ole yupo macho kodoo. Lingard na Perreira walitakiwa wawe wa kwanza kufanya Sub tena Dk 45 ziwe ndio mwisho.

Watford wanaweza kutuongezea machungu kocha likiendelea kukaa kimya timu inafanya mazoezi kwenye mechi muhimu.
 
UE njema mzee..pambana usirudi kufanya september conference..
Bora wewe mimi kesho nina UE ila nimesacrifice muda nicheki Mechi nakuta ukuda uliotukuka.

Ilionekana wazi Brandon amechoka Ole yupo macho kodoo. Lingard na Perreira walitakiwa wawe wa kwanza kufanya Sub tena Dk 45 ziwe ndio mwisho.

Watford wanaweza kutuongezea machungu kocha likiendelea kukaa kimya timu inafanya mazoezi kwenye mechi muhimu.
 
Klop kafungwa juzi na Atletico na Mourinho kafungwa na Totenham tena nyumbani na wao hawafai?

Ugenini ulitaka matokeo ya aina gani ?
Nshasema na bado naendelea kusema Ole ni wa kufukuzwa pale united ila huyu Chief mkwawa daily anampigia promo kwamba anafaaa!!

Ole ni mjinga!

Wewe Chief mkwawa Ole hafai pale united

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom