Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lacazette amefunga juzi kwenye ushindi wa Arsenal 4 - 0.

Lingard ameushushia heshima mchezo wa mpira wa miguu. Hakustahili kabisa kuwa mchezaji wa mpira wa miguu bali mchezaji wa mchezo wa marathon. Akakimbie kwenye mbio za jumuiya ya madola.

Sent using Cash Money Wings
Tuachie kabisa Lingardinho wetu . Huyo jamaa akiwa hana mpira anakuwa hatari sanaaa. Usifikiri anakimbia kimbia tu kama headless chicken , zile move zina madhara makubwa mno.
 
Sijawahi kuona kocha MJINGA kama huyu. Hii mechi tukishinda tukatambike.
Screenshot_20200220-205312_All%20Goals.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom