Hakuna cha media agenda wala nini, huyo Pogba yuko nyuma ya maneno ya wakala wake.
Huyo Raiola anafanya kazi ya kuuma na kupuliza.
Mimi ninavyoona.
lengo lao ni moja wanataka Pogba aondoke Summer ijayo.
Tatizo ni Moja ni timu chache zinaweza kukubaliana na Valuation ya Man u.
Ndio maana Raiola (Pogba)anachafua hali ya hewa ili thamani ya mteja wake ishuke.
Jiulize ni kwanini hata kaka Yake) ame comment vilevile.
View attachment 1362722
Kwani umesahau Summer iliyopita Pogba aliropoka nini.
Cha mhimu hapo, Auzwe Summer. Pesa itumike kumleta yule kijana wa Aston villa.
Beggars can't be choosers.