GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Asante sana mkuu,Dak ya 58,hii inatokana na ile ajari ya ndege kule Muninch iliyotokea tarehe 6 feb 1958
Kwa hyo wamechukua hyo namba ya 58 ikiwa kama kushinikiza na bado pia itakuwa ni wiki ya kumbukumbu ya ajari hyo.
Hapo kwenye namba moja, umenikumbusha enzi zile tunaulizana mchezaji yupi kati ya Ronaldo, Rooney na Tevez ametupia goli.Jinsi ya kuuliza matokeo sasa hivi ni kama ifuatavyo
1 Liverpool kashinda ngapi ?
2. Man city katokaje ?
3. Man u kapigwa ngapi ?
4. Chelsea vipi huko ?
5. Arsenal kapona leo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii line striking niliipenda sanaHapo kwenye namba moja, umenikumbusha enzi zile tunaulizana mchezaji yupi kati ya Ronaldo, Rooney na Tevez ametupia goli.
De
Delete comment yako
Natamani kumjua aliyewaambia kuwa ole ni kocha na sio mchezaji mstaafu ni nani
Fredduh! kumbe mjomba ole gunnar ameshasafisha wengi sana klabuni kwetu, huyu jamaa anastahili kupewa muda mrefu wa kujenga timu.
what next?
- antonio valencia
- Marouane fellaini
- Ander Herrera
- Matteo darmian
- romelu lukaku
- Ashley young
- Alex Sanchez
- Chris smalling
Utaambiwa anarudisha filosofia ya United.OGS won't be sacked soon, mark my words.We will have him for the next 2 or 3 seasons yet no better performance will be shown.
Tutalalamika na tutaizoea hali hii. We ain't a decent club anymore.
Aah wapiPSG wakimpata Koulibaly watu wajiandae kisaikolojia kwenye UEFA
Middle wako na mbavu za kutisha, mbele mbavu za kutisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishuka zaidi kwenye msimamo nadhani akili zako zitakurudiHata mimi nilikata tamaa, umeongea fact lkn umeishia katikati, hujasema timu ya nne inatofauti point ngapi. Kuna factor za Liverpool kuwa pale ilipo. Kuna sabb pia man utd kuwa pale ilipo ukioanisha unakuta bado timu hii inakwenda sawa sawa na man city kwa sabb haitishi. Timu pekee unayoweza kujenga nayo hoja ni Liverpool. Ninyine zaona ziko sawa. Zinatofautiana ipi iko mazingira gani.
Chelsea anaiogopa Arsenal ya wachezaji kumiUmesema Kila timu inaiogopa Liverpool ..kwenye uo mjumuisho tuondoe apo..
Sisi ni Chelsea
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Goood gooodMashabaki wameplan kufanya protest siku ya mechi na wolves hiyo tarehe moja february. Wameamua kuwa ikifika dakika ya 58 Wataamka na kutoka uwanjani. Fans are tired of woodward and the Glazers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona unakuwa na hype ya Bruno kuja ilihali hakuna kocha?
Unadhani Bruno ni standard yetu? Aende timu zinazojielewa kama Halland.
Sent using Jamii Forums mobile app