Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hanibal Mejbri? Bado sana ana miaka kama 16 hivi. Ila yule dogo ni balaa baada ya miaka 2 ama 3 nategemea kuwa 1st eleven.

Na tetesi Gomez amekataa kusign mkataba hivyo huwenda mwisho wa msimu akaondoka.
 
Haaland hana ubavu wa kumtolea nje Ole, ole ndie aliemtoa kusikojulikana na kumpa chance ya kuonekana, jamaa ana respect kubwa sana kwa Ole.

Aliezingua kwenye Usajili ni Ed woodward na mwenzake Raiola. Kuna vipengele kwenye mkataba Raiola alilazimisha viwepo kama vile.
1. Rb salzburg wamepata 22m na raiola amepata 25m agent kapata hela nyingi kuliko mchezaji.
2. Pia kuna release clause ya chini ya pound milioni 50 kama kumbukumbu zangu zipo sahihi ambayo inakuwa active msimu wa pili,

Hivyo ni bomu hilo linacount, muda si mrefu drama zitaanza tena.

Anachotaka Raiola ni wachezaji wake kuhama hama sana, ili ale mpunga mrefu na huyu jamaa wachezaji wake wengi kama sio wote wanakuwa na vipaji sana ila hawafikii potential.

Ibra kakimbia champions league mara kibao, pogba ndo huyu, balotelli tunamjua, Mhitaryan etc.

Dogo ana kipaji ila huyu agent anaweza kumharibu sasa ama baadae
 
Watu huwa wanapigiana stori za uchawi sijui kuna wachawi noma sana,ila kiukweli uchawi haupo. Ungekuwepo watu kama ED Woodward na Ole Gunar Solskiejar wangekuwa washarogwa na kufia mbali
 
Hivi unajua united ya SAF ilishapigwa NNE na liver pale OT?
 
Jiulize why client wa Raiola ni wachezaji wazuri despite hizo shutuma anazopewa ?

Ukiondoa emotion (United fan) hata ungekuwa wewe serious kwa situation ya sasa sidhani kama ungeenda United badala ya Dortmund for sporting reason, for financial reason yes United pangemfaa sababu angelipwa mshahara mkubwa kuliko Dortmund

Lazima tukubali OGS hana pulling power kwenye usajili kama makocha wengine na perfomance ya timu ni mbovu so only option iliyobaki ni kutumia fedha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawatakia kila la kheri mpate draw ya 2 kwa 2

Walioweka GG wapate mboga wapeleke nyumbani

Walioweka Over 2.5/3.5 wafurahie matunda ya beki mbovu za Arsenal na Chelsea

Mashabiki wa United wafurahie United kupunguza gape la top 4 na Chelsea tuzidi kumwacha Arsenal

In the end every body is happy
Angalieni leo tunavyomnyonyoa Arsenal...

Point tatu + Clin shit swaafi..

#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesahau, hapo Chelsea na Arsenal nao wanapata point moja moja

Mwisho wa siku kila pande inafuraha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukatoa mfano wa mchezaji ambae Man U wamemtaka akachomoa kipindi cha Ole? Sababu issue ya Haaland si mchezaji ametukataa bali ni club chini ya Woodward wamechomoa. Ni kama issue ya Bruno sasa hivi mchezaji yupo Willing kuja ila club haikubaliani na fee. Same kwa Dybala dirisha lililopita.

Na ole ndio amemnoa Haaland kuna kitu gani cha ajabu ukienda kwa kocha aliekuibua?

Na mkuu ni wachezaji wachache sana vijana ambao wanaweza kumkataa ole, So far tumeona anatumia watoto wengi na wengi viwango vyao vime improve zaidi, watu kama Rashford, Martial, James, Williams, Mc tominay, lindelof, AWB etc ni watoto na wapo katika form of their life hawajawahi cheza vizuri kama hivi.

Na kuhusu client wa Raiola mkuu anachukua wachezaji wazuri ndio ila wanakuwa na End mbaya karibia wote, natafuta hapa mchezaji wa Raiola ambae ana End nzuri simpati nisaidie.
 
Kwenye swala la ku'trust young player OGS uwa namuelewa sana, na vijana uwa hawatak kumuangusha wanajituma mno, angalia kama yule Scot Mctomey
Ebu tumvumilie Ole mpaka mechi ya mwisho mwa msimu ndio tum'judge
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahhaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye swala la ku'trust young player OGS uwa namuelewa sana, na vijana uwa hawatak kumuangusha wanajituma mno, angalia kama yule Scot Mctomey
Ebu tumvumilie Ole mpaka mechi ya mwisho mwa msimu ndio tum'judge

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nadhani anatumia vijana sana sababu hana option nyingi. McTomminey,DJ,Greenwood na Brandon wanacheza sababu Ole hana mbadala kwa sasa.Na pia matumizi ya vijana wengi ndani ya kikosi ili uwe umefanikiwa inatakiwa matokeo sio kupata matokeo mabovu kama sisi.
 
Lingard naye ni client wa Raiola Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Cavan alitaka kuja OT mwezi huu Ole kampotezea sababu wanawekeza nguvu ktk kunyanyua makinda.
 
Duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samatta EPL 0 game 0 assist 0 goal

Lingard 18 games 0 assist 0 goal

watu wanamambo jamani mhhh
Halafu Forward huyo anaechezeshwaga namba mbili tu natural ten na Winger baasi kakupigia game 18 bila kufunga wala kutoa assist halafu hao watu wanaomtetea ndio unakuta wanamshambulia Pogba au Pereira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…