Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mjinga bibi yako wewe kuku

Katika kujadili Man Utd na Liver ndio nikasema kuna wajinga kama wewe wanamfananisha SAF na Klop

Tatizo hujui mpira, unadandia dandia facts mbili tatu unazozisikia vijiweni halafu unakuja kuongea mbele ya wanaume wenye uelewa hapa

Eti ligi ilikuwa inatawaliwa na timu mbili, ndio uelewa wako huo ulionao..... Spupid
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jude Bellingham, United target

Kijana wa miaka 16, kutoka academy ya Birmingham City na kwa sasa ni tegemeo kwenye midfield ya timu ya Birmingham City inayocheza Championship

Bellingham amekuwa akifuatiliwa sio tu na United bali na Arsenal, Liverpool, Barca na timu nyingine Ulaya

Sifa kubwa za Bellingham ni ukabaji, ku dribble mpira, kutoa pasi za mwisho na kufunga magoli, kwa ufupi huyu dogo ni box to box midfielder

Inakisiwa thamani ya kijana huyo wa kiingereza ni £25m na United wapo tayari kumnunua na kumrudisha kwa mkopo pale Birmingham City mpaka msimu utakapokwisha

Jude Bellingham, kumbuka hili jina. One for the future.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema Man United enzi za SAF ilikuwa ina ushindani duni. Naomba angalieni tofauti ya point za msimu huu(2019/20), uliopita(2018/19), na hata ule wa 2017/18). Kisha linganisha na enzi za Fergie.

Chukulia timu nne katika msimamo wa ligi, za kipindi cha Fergie na nne za sasa.
 
Kati ya kauli tata alizokuwa akizisema Mino Raiola kuhusu man utd na hiyo ni moja wapo ila sisi kwa kutokupenda kuambiwa ukweli tukamchukia,lakini aliongea ukweli tupu.
 
dah hiyo fedha mbona ni nyingi mno au kwa sababu ni muingereza?
halafu vipaji vya kiingereza vinakuwa havina utofauti na betting...
angalau ingelikuwa paundi millioni 5 - 7.
unamkumbuka nick powell?

 
Kama sisi ,mashabiki wa vibanda umiza tunaweza kutabiri mambo ya mpira na yakatokea kwa walau 60%,inakuaje Ole mwenye taaluma rasmi ya mpira anashindwa?
Tangu kipindi cha preseason tuliona jinsi timu inavyocheza bila muunganiko kama kuku aliyekatwa kichwa,tukadhani Ole atalifanyia kazi kabla siku za usajili hazijaisha. Akaja na kauli za DNA na im happy with this squad,matokeo yake ndio haya tunayopata sasa.
Kila matokeo tunayoyapata kwenye huu msimu,Ole hakwepi lawama na inawezekana Mc cane akawa sahihi kuwa jamaa anafanya sajili dhaifu ili kuficha udhaifu wake katika idara ya ufundi.

Natofautiana na mashabiki wengi humu kuwa kukosekana kwa McTomminay,Pogba na Rashford kumetuathiri kwenye baadhi ya mechi,madai yangu bado naamini Ole gunnar Solskjaer sio mtu sahihi kwa ajili ya hiyo kitu wanaita rebuild ndani ya man utd. Nadhani walimteua kimkakati ili kuzima hasira za mashabiki kisa jamaa ni mtoto wa nyumbani.
 
Kweli apo no kosa kubwa sana Sir Fargie mimi munyewe namweshimu sana...japo marefa walimpa sapoti ya kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanchez anaweza akaja kuwa mchezaji tegemezi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
brother, unasumbuliwa na tatizo moja tu:
unapoandika comment zako ni ngumu wasomaji kufahamu upo kwenye hali gani (either upo kwenye utani au upo kwelini).

kwa mfano:
hapo juu umesema chelsea itashinda mechi zote lakini united hawana uhakika wa kuifunga newcastle.
unachosahau ni kwamba man utd wamesharejeana na newcastle united.

kibaya zaidi huyo newcastle united amekufunga
 
Dah wamerudiana lini kwani? Na mulishinda au mulipigwa? Unajua some time tunapitiwa bwana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…