OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahaha nijinyonge kisa hichi kikundi cha wanywa gongoMkuu hivi leo ikitokea man u ikashinda Nadhani utajisikia vibaya Sana kuliko hata washabika wa Liverpool, au wa man u ikifungwa.
Maana huwa upata furaha sana Man U ikifungwa,kuliko Chelsea ikishinda
Angalizo: Kama ikitokea usije ukafikia uamuzi wa kujinyonga tu..
Sent using my Audi A62017 model
Ole OUThuo mpira kabla haujafika kwa huyo striker inapendeza zaidi kama utaanzia kutengenezwa nyuma.
timu zote zinazocheza mfumo wa 3-5-2 zinafaidika zaidi na huduma ya wingback.
rejea juventus ya antonio conte na massimiliano allegri na hata chelsea ya conte.
hao wingback wetu umewaona brother?
muda wote wapo nyuma hata kama hawajabanwa na maadui halafu tutegemee maajabu ya antonio martial?
sometimes tunawaonea bure hawa striker wetu.
Kuna dogo pale academy anaitwa GARNER unamjua?Yaani tunachomis ni viungo/kiungo mbunifu wa kupiga dangerous pass kwa kina Martial, Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi, nafikiri Sir Alex uko alipo anaweza fikiria kurudisha majeshi vitani (natamani Sir Alex arudi japo misimu mitatu tu)
Please Woodward izinisha usajiri wa viungo wawili wabunifu tu, then ndio tuanze kumlaumu huyu OGS
Leo endapo angekuwepo Pogba, Scot na Rashfod Liverpool wasingeamini kingechotekea
Martial kule mbele ana uchu sana ila mipira nadra kumfikia, mpaka namuonea huruma
Tunaitaji viungo wanyumburifu kama Schoses, kama Super Gigs
Hivi kina Glazer na Woodward hawaoni sisi tunachoona kweli?
Hii HT Ole amtoe Luke Shaw aingie fundi Juan Mata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unafungwa na hii Liverpool Nu Casto ndo utamueza kweli...Mkuu pole na timu yako mbovu ya chelsea na kocha wenu lampard kama mwanafunzi wa field second yea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu huoni man u tunazidi kupigwa pigwa tu Kila Siku..hivi msimu ujao tutacheza ata Europa kweli?Mkuu mbona hasira sana? kwani gemu ya mwisho mmeshinda ngapi?
Hahaha mumefika hatua bila Rashid amna kitu hahahaBila Rashford sioni cha maana tutakachoweza kukifanya leo..ngoja tusubiri saa 12:30 tuone team news
Bila shaka utakuwa umefurahi Sana mkuu, kuliko hata utd walivyohuzunika...Hahaha nijinyonge kisa hichi kikundi cha wanywa gongo
Haha piga mbuzi hao Man u
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana mlishinda ngapi?Sasa mkuu huoni man u tunazidi kupigwa pigwa tu Kila Siku..hivi msimu ujao tutacheza ata Europa kweli?
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie shangilieni kwa raha zenu, na sisi tunaongea kwa raha zetu Mkuu
Ila ukweli unabaki pale pale and you know that the team you beat is one of the weakest United team you ever play against
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeukosa mpira angepata red card lakini alikuwa ana 50/50 chance kugusa mpira au kukosa kama angepiga tackle
Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi...
hiki ni kikundi cha wahuni na wavuta bangi walioamua kujiingiza kwenye mpira.
Liverpool ni wa kawaida sana. Kinachosababisha waongoze ligi ni kwamba timu zingine zote ni mbovu zaidi ndiyo maana zote zimefungwa na timu ambayo ni ya kawaida.