Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Au kati ya AWB na shaw mmoja atacheza kama beki wa kati na Williams awe wing back. Nitafurahi kama James akiwa kushoto, huwa anafunga sana akiwa upande huoProbably Williams atacheza winga, lengo ikiwa kuisaidia kumdhibiti Mane/Salah na tunapopata mpira tupige counter attack
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuna pressure bcoz we have nothing to loose, leo utd tukifungwa dunia haishtuki bcoz tuwabovu, nyie mpo bora mara mbili yetu inapaswa kuonyesha dunia matokea ya awali OT mliteleza kugawana point na sisi, leo hapo tunakuja kukuaribia na kuweka heshima tu na kama ikatokea tumepoteza basi
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Scot Mctomey aiseeExactly, sema hizi games by default mimi huwa nazipa draw, bila kuangalia ubora wa timu.
Sema tu ni vile Man Utd iko handicapped kwa kuwa na injuries kwa key players.
Rashford na Pogba ni muhimu sana kwa Derby hii.
Naisevu hii Comment saa 3 ntakukumbusha hauna kikosi cha kumfunga LIVERPOOL narudia hauna hicho kikosi tena ANFIELD
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Scot Mctomey aisee
Leo fans wa liverpool mpo over confidence, nina best angu die hard liver fan jana kaniahidi endapo utd tukashinda basi atanizawadia elfu50
Sent using Jamii Forums mobile app
Au kati ya AWB na shaw mmoja atacheza kama beki wa kati na Williams awe wing back. Nitafurahi kama James akiwa kushoto, huwa anafunga sana akiwa upande huo
BAILY ni beki wa kati wa kulia, beki wa kati wa kushoto ni Maguire, Rojo na huyo shaw kwa kuibia. (Ikiwa tunacheza na beki watatu wa nyuma)Akichezeshwa Shaw kati kati nitashangaa kwa sababu Bailly yupo,
DJ akitokea kushoto anakuwa hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE LEO USILETE KISINGIZIO SUBIRI UTIMIZE RATIBA YA LEO BASI MAANA HAUNA UTAKACHOAMBULIASINA SHIDA NA BEKI NA KIUNGO, SHIDA IKO KWENYE WAFUNGAJI, HAKUNA MTU ANAWEZA KUIFUNGA LIVERPOOL HAPO. TUTAPATA SHIDA TU, RASHFORD YUKO SHARP, HUYO MARTIAL MZITO AKILI NZITO SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAHA MIMI NA WEWE HATUNA UTOFAUTI WOTE NI VIWETE TU MATOKEO HAYAELEWEKI SIKU HIZIMkuu vipi,
Nasikia katika mechi 10 mmeshinda game 2 tu, halafu unapolalamika kwenye Uzi wenu kuna watu wana kuchukuliwa poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kwanza mechi iishe, mambo ya usajili yatafwata baada ya mechi.Tunasumbuka kumnunua yule mtoto wa Ureno kama kiungo, na wala hatuangalii wafungaji. Inaweza ikapita tena January hii na Ole asinujue mtu wa kariba ya Lukaku, mtu mwenye uchu wa goli. Tukaishia kukimbizana na viungo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasumbuka kumnunua yule mtoto wa Ureno kama kiungo, na wala hatuangalii wafungaji. Inaweza ikapita tena January hii na Ole asinujue mtu wa kariba ya Lukaku, mtu mwenye uchu wa goli. Tukaishia kukimbizana na viungo.
Sent using Jamii Forums mobile app