Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,717
- 39,805
Stone
Mambo bado
Mambo bado
Rashford na Martial bado hatujaona potential yao ikikamilika, tupate sasa hivi mtu wa kutokea kulia, Aje Sancho ama mwengine wa Design hio,
Then kwenye midfield aje creative kama Bruno + hawa tulionao wakiwa fit tunaweza kuanza kucheza 4-3-3. Hivo vitimu vidogo huwa tunavipiga sana na 4-3-3.
Tammy ana 15 goals with 0 penalties.. Wewe jua ilo mengine achananayo
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kila siku neno moja,hahahaa.Hii timu ikitaka kumsajili mchezaj kila wiki wanaongea neno moja mwisho dirisha linafungwa Ed hafai kuwepo pale angekuwa mtu wa mpira saiv hata wachezaj watatu wangekuwa wametua kwa jinsi timu ilivyo
Weekend mkuu, hata wao huwa wanatulia especially Jumapili
Kuanzia kesho kama dili lipo utasikia mchakamchaka wake na anaweza hata kucheza game ya Liverpool (kama dili lipo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Bruno atakuwa ni mpumbavu kiasi gani kuja kwenye hii Man u??
Only 6 goals??? Haiwezekani mkuu...Mh! Haya basi 20, 6 goals remains.
Hahahaha kwaiyo una mindAchana naye huyo, hajawahi kuwa serious, hajawahi kumaanisha anachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabid tuconsidee na penati kwa sababu wachezaji weng wa pozishen yake sio wapiga penati..Na yakifika hayo atasema yale ya penati yaondolewe
Naombea sana Bruno afikie game la Liverpool. Liver Wana kelele Sana. Hasa yuke madevu
story zmekuwa nyingi bdo...
Naombea sana Bruno afikie game la Liverpool. Liver Wana kelele Sana. Hasa yuke madevu