radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kabisa kwa level za hizi timu zetu ni janga ki uhalisiaWewe ni ndugu yangu.
Ila timu kushindwa hata on target walau 1 ni msiba....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kwa level za hizi timu zetu ni janga ki uhalisiaWewe ni ndugu yangu.
Ila timu kushindwa hata on target walau 1 ni msiba....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimenez huyu hapa OT!
Wanamleta OT Bro!Jimmenez anatua old au anakuja kuchinja old?
Usajili wa January hii?Wanamleta OT Bro!
Yes Brother..Usajili wa January hii?
Allegri..Mkiwa mnaona OGS hafai kuwa kocha basi pia muwe mnatoa na mapendekezo yenu kwamba ni nani mnamuona anafaa kuwa kocha
Sababu haina maana yoyote kusema kwamba kocha hafai halafu hutoi pendekezo la nani unadhani anafaa na kwann unadhani anafaa kuwa kocha na huko alipo ni kipi kikubwa alichofanya ambacho unadhani ataweza kuja kukifanya pale man United
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamleta OT Bro!
Mkiwa mnaona OGS hafai kuwa kocha basi pia muwe mnatoa na mapendekezo yenu kwamba ni nani mnamuona anafaa kuwa kocha
Sababu haina maana yoyote kusema kwamba kocha hafai halafu hutoi pendekezo la nani unadhani anafaa na kwann unadhani anafaa kuwa kocha na huko alipo ni kipi kikubwa alichofanya ambacho unadhani ataweza kuja kukifanya pale man United
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Panic za kufungwa hadi unachapiaSiwezi kuihama man utd lkn kilichotokea na asernal sijakulipenda


View attachment 1313018hiyo hapo kwa mechi zilizo live chagua English
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyozidi kupakuliwa na kutumika ndivyo inavyozidi kuwa nzito so tegemea siku kukwamakwama siku zijazo.Iko Poer sana haikwani yani hapa hawanipati vibanda umiza siku za mechi kubwa kubwa sitaki ujinga maana huwa zinaumiza moyo sana plus kutaniwa hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kocha hapo kocha aliefaa kuifundisha hii timu ni pep na yule babu wa buyern aliestaafu basi wengine wote michoshoAllegri..
Ana-uwezo wa kuitengeneza chemistry ya timu na ikawa competetive!
Ila hakuna kocha aliyekamilika ila tunasema 'at least fln'
Solskjaer atajadiliwa msimu ujao au wa tatu kwa sasa ni kupoteza muda wale makocha waliopo top 2 wanazaidi ya miaka mitatu na timu zao mmoja ambae ni klopp timu imekaa sawa msimu wa nne
Kwahy saiv Ole akipelekewa begi lake Airport, aje nani?Hamna kocha hapo kocha aliefaa kuifundisha hii timu ni pep na yule babu wa buyern aliestaafu basi wengine wote michosho
Aache kicheza uefa msimu ujao ake kucheza Europa??


Wamewabeba mara ngapi....?Afadhali aje, au yule jitu Adama. Maana Rashford nyoro nyoro anajiona star.
Inauma kuona fighter James anafanyiwa sub huku fat and motherfucking oxygen thieves like Rashford na Martial yanazurura ovyo uwanjani