DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Sijawahi kukukwepa mzee....mimi mbona nipo poa sana,mara nyingi nikiona mtu ninayeargue nae kachemka namuacha apoe kwanza....maana najua athari zake....Kuna kipindi ulikuwa unazikwepa comments zangu, hongera kwa kuwa na positive mood kwa sasa Arsenane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama humu mtu anapanic na povu linatoka ,je live uso kwa uso inakuwaje???!
Si unaweza piga mtu ngumi mzee....
Sent using Jamii Forums mobile app




