Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,352
Vumilieni na VAR yenu, mbona nyie mlikuwa mnazusha marefa kuibeba United hata kwa mambo yaliyo wazi?Liverpool haijawahi kuwa na Matatizo na VAR hata siku moja.
Bali aina ya Watu kama wewe ndiyo wenye matatizo na VAR.
Kele zako na wenzako juu ya VAR ndiyo unafanya ni matatizo ya Liverpool na VAR?
Huyu jamaa ndio anafanya pogba anatudengulia, OGS amuuze tu, pogba wa kawaida sana mbona, angefika nusu ya KDB je ingekuwaje?Haya maneno yanaudhi sana, ni matusi kwakweli. Raiola unamaanisha hatupaswi kuwa na Pogba wala kusajili mchezaji mzuri.
"Paul Pogba's agent Mino Raiola says Manchester United is so poorly run that the club would "ruin" some of football's greatest ever players, including Pele and Diego Maradona"
Riola nifala Sana, tumepoteza mechi nyingi sababu tulisumbuliwa sana na majuruh ikiwemo pogba, martial. Aache kutupaka matopeHuyu jamaa ndio anafanya pogba anatudengulia, OGS amuuze tu, pogba wa kawaida sana mbona, angefika nusu ya KDB je ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nachohofia anaweza ambukiza dressing room yakatokea yale ya Mou, dawa ni kumuuza ikiwezana this january ila hela tunayotaka sidhan kama kuna club itaweza kukubali (120 pounds mil)Kuna watu humu hata uwaambie vipi kwamba pogba anaiharibu Man U hawaelewi,watakwambia tu pogba ndio kiungo wetu bora kabisa hadi sasa. Ubora wake sijui wanaupata wapi kwa mtu ambaye hayuko committed na timu
Kauli hiyo aliitoa pep..nilimdharau Sana. Sijui lkn flop naye siku tunacheza naye alidai var sioVumilieni na VAR yenu, mbona nyie mlikuwa mnazusha marefa kuibeba United hata kwa mambo yaliyo wazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha aendelee, waje naye Anfield tufute makosa yetu, Ole ni kocha pekee hajafungwa na Liverpool.
2 games, 2 draws.
Kuna watu humu hata uwaambie vipi kwamba pogba anaiharibu Man U hawaelewi,watakwambia tu pogba ndio kiungo wetu bora kabisa hadi sasa. Ubora wake sijui wanaupata wapi kwa mtu ambaye hayuko committed na timu
Chezaji lenyewe linapenda kubadili "hair colours and style" pekee. Kiufupi, tokea namuona Pogba kwa mara ya kwanza mwaka 2012, sijawahi mkubali mpaka leo. Bora asepeshwe tu
Ni kweli man u inaua vipaji
Depay
Sanchez
Lukaku
Herera
Mikitarian
Falcao
Matic
Pogba
Smalling
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE...
Kocha alikuwa Klopp? Au hukuelewa aliposema Klopp hajawahi mfunga OGS na Ancelot?Yes, mara nyingi.
Mwaka 2005 wakati tunachukua UEFA Istanbul, yeye ndiye alikuwa kocha wa Millan.
(BTW: mwaka huu tena Final ni kwenye uwanja huo huo, so tunarudia kufanya yetu).
Pia Aliwahi kuwa kocha wa Chelsea 2009 - 2011.
Chini ni matokeo yetu ya msimu wa 2010/2011
View attachment 1309141