Kama ni kweli..huyu jamaa kweli ni kirusi..tumpige bei mapemaView attachment 1308120
Hahahahahahahahah Nacheka kwa dharau THIS IS LIVERPOOL hahahahahahahahah HESHIMA IMERUDI MJINI Tukutane tar 19 January.
Duuh huyu kwel kirusi, ila pogba hajitambui, OGS kama anataka kufanikiwa pale OT basi mwezi june aondoe hii kirusi ktk groupKama ni kweli..huyu jamaa kweli ni kirusi..tumpige bei mapema
Ole asajili;
√Central midfielder
√Playmaker midfielder
√Competent Straiker
√Right Winger
And we a good to go maana tutakuwa na depth na kama sajili zitashine basi tutarudi kuwa competitive
View attachment 1308120
Pogba ni kirusi Mou alishatueleza ila naye Mou alikua na matatizo yake makubwa tuKwa kweli POGBA amekata shauri la kutoendelea kukipiga man u. Tabia anazozionyesha sio za kuvumiliwa hata kidogo.
Unasingizia majeruhi baadae unaonekana unacheza basketball, upo kwenye ligi za daraja la kwanza, upo club unajirusha, upo kwenye harusi unakata mauno.
Man u mnamuogopa sana huyu jamaa, hata kukemea matendo yake mnaogopa. Mnamwacha Anakula mshahara wa bure tuu. Morinyo was right.
Laiti pogba angeondoka morinyo angebaki. Man u sasa hivi ingekuwa fayaaaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bahna wakati wenu wa kujidai ndo huu.....(mmesota sana asee....mpaka kufika mlipo Leo....)
Liverpool......Kila siku nyie MNA matatizo na VAR kwani kuna nini?
Kila uchwao anaongea huyu jamaa sema kamkuta solskjaer sio mtu wa kupanic
Kocha kampuuza pogba sioni haja ya kujibishana nae saiv kwenye kiungo walau kunatulia kwa sasa bila pogba no problem matic karudi bado kafanya poa na fredKwa kweli POGBA amekata shauri la kutoendelea kukipiga man u. Tabia anazozionyesha sio za kuvumiliwa hata kidogo.
Unasingizia majeruhi baadae unaonekana unacheza basketball, upo kwenye ligi za daraja la kwanza, upo club unajirusha, upo kwenye harusi unakata mauno.
Man u mnamuogopa sana huyu jamaa, hata kukemea matendo yake mnaogopa. Mnamwacha Anakula mshahara wa bure tuu. Morinyo was right.
Laiti pogba angeondoka morinyo angebaki. Man u sasa hivi ingekuwa fayaaaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eric bailly majeruhi sana watu wa kuuzwa bailly ,,rojo na dalot hawa muda mwingi wanautumia kitandani na ka shawEric baily yuko vizuri Sana... Kwenye FIFA19 ananipa burudani.
long time no see brother....Nimerudi sasa baada ya kitambo daaaa


Baada ya kushinda mechi mbili tatu ndo umeonekana..Nimerudi sasa baada ya kitambo daaaa


Hata sijakimbia mkuu majukumu tuBaada ya kushinda mechi mbili tatu ndo umeonekana..
acha kukimbia timu yako mkuu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app