Patiee
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 474
- 720
Eric bailly majeruhi sana watu wa kuuzwa bailly ,,rojo na dalot hawa muda mwingi wanautumia kitandani na ka shaw
Leo Erick ameonekana Carrington ....Tumtegemee uwanjani hivi karibuni.
Eric bailly majeruhi sana watu wa kuuzwa bailly ,,rojo na dalot hawa muda mwingi wanautumia kitandani na ka shaw
Acha tu mkuu nilikuwa chaka sana yaanilong time no see brother....
Si mbaya mkuu ila jamaa anaumwa sanaLeo Erick ameonekana Carrington ....Tumtegemee uwanjani hivi karibuni.
Hahah asante mkuu
Cr7 akiwa na miaka 21 alifanya mengi ya kutisha ..uyu Rashid anakwama wapi? Misimu mitatu ndani ya EPL bado anaruka ruka tu..
Tammy kaja juzi na atamkimbiza vibaya mnoo
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Atahusika kwa maana hiyo atakuwepo... halafu umeandika no pogba.No Mc Tominay, no Pogba, kwenye press OGS amesema kwamba Pogba atahusika kwenye game
Mlafi Raiola ameshatema mbovu sana kuhusu Pogba na wateja wake ndani ya United
Kirusi kinaendelea kumwaga sumu kwenye timu yetu na OGS anaendelea kukilamba kirusi miguuView attachment 1308728
Sent using Jamii Forums mobile app
welcome back.... bado hujachelewaAcha tu mkuu nilikuwa chaka sana yaani
amehamia liverpoolNumbisa yupo bize na mambo ya Diamond platnumz haya mengine hayawezi.

mzee huyooo anazama mwaka mpya mwerereeeeee!!!!Ole hafiki Krismasi.mzee huyooo anazama mwaka mpya mwerereeeeee!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijakimbia mkuu majukumu tu
Kila uchwao anaongea huyu jamaa sema kamkuta solskjaer sio mtu wa kupanic