Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Konaball,
Kocha tunaongoza lakini ametuzingua mechi hii ilikuwa ya kuvunja record ya magoli ila mhhh

Kama umegundua kitu bench letu la ufundi kuanzia kocha mkuu Ole na msaidizi wake Mike Phelan pamoja na hawa makocha wa vikosi vya kwanza Kieran Mckenna na Michael Carrick wanafanana sana kiuwezo na kimtizamo hasa hasa linapokuja swala la kuusoma mchezo unapoendelea ambao kwa maoni yangu binafsi uwezo wao wote ni mediocre, mechi ikiwa ngumu tukiwa tumefungwa ni ngumu sana kupata matokeo.
Laiti kama Ed Woodward angekuwa smart walau nusu ya uwezo wa David Gill (He was overseeing club's operations beyond stakeholders interest sio kama huyu kilaza Ed anayeweka mbele zaidi maslai ya Glazer family rather than our happiness as fans sijui kwa ssb kisa alikuwa mshauri wao wakampa kazi kiushikaji) angeenda RB Leipzig kumshawishi Julian Nagelsmann aje kuongeza nguvu kwenye bench la ufundi kama atakubali awe kocha msaidizi with some convincing promises kama atakuja kupewa timu baadae. He's very inquisitive and smart.
atoke kuwa kocha mkuu RB L ,timu iliyopo KO ya CL, inaongoza BuLi aje kuwa msaidizi wa OGS???........


mkuu, umevuta sigara kali sn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Konaball,
Kocha tunaongoza lakini ametuzingua mechi hii ilikuwa ya kuvunja record ya magoli ila mhhh

Kama umegundua kitu bench letu la ufundi kuanzia kocha mkuu Ole na msaidizi wake Mike Phelan pamoja na hawa makocha wa vikosi vya kwanza Kieran Mckenna na Michael Carrick wanafanana sana kiuwezo na kimtizamo hasa hasa linapokuja swala la kuusoma mchezo unapoendelea ambao kwa maoni yangu binafsi uwezo wao wote ni mediocre, mechi ikiwa ngumu tukiwa tumefungwa ni ngumu sana kupata matokeo.
Laiti kama Ed Woodward angekuwa smart walau nusu ya uwezo wa David Gill (He was overseeing club's operations beyond stakeholders interest sio kama huyu kilaza Ed anayeweka mbele zaidi maslai ya Glazer family rather than our happiness as fans sijui kwa ssb kisa alikuwa mshauri wao wakampa kazi kiushikaji) angeenda RB Leipzig kumshawishi Julian Nagelsmann aje kuongeza nguvu kwenye bench la ufundi kama atakubali awe kocha msaidizi with some convincing promises kama atakuja kupewa timu baadae. He's very inquisitive and smart.
Huyo kocha wa RB Leipzig atakuwa ni mpumbavu kama atafanya kama ulivyoshauri
 
Sijajua kwa nini man u wanampa sana nafasi Lingard.kuna watu wazuri waliondoka kama vile Herera,Valencia,kagawa n.k ambao wangeweza kuwa na faida moja ama nyingine kwenye timu kuliko Lingard.

Lakin kitu nnachojaribu kukiangalia ni kwamba huenda Lingard pia akawa na impact nje ya uwanja namaanisha kwenye vyumba vya kubadili nguo.Anaonekana ana akili nzuri si katika kucheza lakini katika kuimarisha Afya ya akili ya wachezaji wengine ndani ya ndani.Ukimsikiliza Lingard interview zake u anaona ni mtu mwenye akili nyingi lakini pia anajiamini sana katika confidence japo tu kipaji chake sio kikubwa uwanjani.

Huenda Wanamtumia na kumuandaa Lingard kuwasehemu ya benchi la ufundi lijalo kwa hiyo ndo maana anakaa kaa tu pale ila la sivyo angeshauzwa westham.
Ni kama Mata japo Mata uchezaji wake uko juu kuliko Lingard ila anaonekana pia ni mzuri katika uongozi ndani na nje ya uwanja ndio maana sioni kama anaweza kuuzwa.
Watu kama Lingard kama hatokuja kuwa Kocha basi hata uchambuzi wa soka kitaalamu wanajua.

Kama timu zetu za Tanzania zingekuwa zinawatumia wachezaji hawa na wao wanajitambua basi tungekuwa mbali kimchezo.Leo watu kama akina Kaseja wanapotea kirahisi lakin ni watu wenye akili kimpira.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
.Anaonekana ana akili nzuri si katika kucheza lakini katika kuimarisha Afya ya akili ya wachezaji wengine ndani ya ndani.Ukimsikiliza Lingard interview zake u anaona ni mtu mwenye akili nyingi lakini pia anajiamini sana katika confidence japo tu kipaji chake sio kikubwa uwanjani.
happy new year to jesse lingard
It has been 366 days since Jesse Lingard last registered a goal or assist in the Premier League for man utd.

usisahau jesse lingard ana miaka 27, ina maana jamaa ana uwezo wa kucheza soka kwa miaka mengine 9, unaposema huenda anaandaliwa awe ni miongoni mwa wakufunzi wajao wa klabu ya man utd itakuwa unaleta mzaha.

cha kufurahisha zaidi kwa bwana ole msimu huu amejaribu kuwapa nafasi wachezaji takribani wote waliopo ndani ya kikosi, kupitia system hiyo tumeshuhudia baadhi ya wachezaji wakiimarika kiuwezo kama vile fred, brandon williams, rashford, greenwood n.k

ukija kwake jesse lingard ameshacheza mechi 16 za ligi kuu ndani ya msimu huu lakini hajabadilika.
 
IMG_7145.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
happy new year to jesse lingard
It has been 366 days since Jesse Lingard last registered a goal or assist in the Premier League for man utd.

usisahau jesse lingard ana miaka 27, ina maana jamaa ana uwezo wa kucheza soka kwa miaka mengine 9, unaposema huenda anaandaliwa awe ni miongoni mwa wakufunzi wajao wa klabu ya man utd itakuwa unaleta mzaha.

cha kufurahisha zaidi kwa bwana ole msimu huu amejaribu kuwapa nafasi wachezaji takribani wote waliopo ndani ya kikosi, kupitia system hiyo tumeshuhudia baadhi ya wachezaji wakiimarika kiuwezo kama vile fred, brandon williams, rashford, greenwood n.k

ukija kwake jesse lingard ameshacheza mechi 16 za ligi kuu ndani ya msimu huu lakini hajabadilika.
Sasa wanampendea nini huyu dogo maana naona kama anabana nafasi za wengine tu.Yaani man u kwa lingard uvumilivu ni wa hali ya juu.Kwa msimu mzima hata magoli na assist 10 anaweza asifikishe lakin wanawaacha wanauza akina Di Maria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wanampendea nini huyu dogo maana naona kama anabana nafasi za wengine tu.Yaani man u kwa lingard uvumilivu ni wa hali ya juu.Kwa msimu mzima hata magoli na assist 10 anaweza asifikishe lakin wanawaacha wanauza akina Di Maria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me, panapo mwezi june Ole atasafisha vilaza wote pale carington, Ole anapenda kibarua chake kuliko kitu kingine chochote, ni hatari kuanza na kuuza wachezaj wote na kuingiza wapya kwa wakat mmoja, rebuilding is process

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom