Zuckerman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,429
- 2,531
Kuhusu Bissaka naskia akipata yellow anaweza kumiss game ya Arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikosi kiko poa, ila huyo Williams naona ananiharibia siku. Bora angeanza mkongwe Young. Ngoja nikapige Castle za kutosha angalao nipunguze hasira


Ila na Martial yumo nduguKikosi kiko poa, ila huyo Williams naona ananiharibia siku. Bora angeanza mkongwe Young. Ngoja nikapige Castle za kutosha angalao nipunguze hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni kwanini huwa hawalielewi hili. Hata mie huwa nakasirishwa na Rashford akianzia pembeni.Ole sijamwelewa kumpeleka Rashford pembeni na Martial kati. Kwa mawazo yangu Rashford angekuwa kati na Martial ni mzuri sana ikitokea pembeni.
Mechi ishakuwa ngumu hii naona kiungo leo sio kizuri na jamaa wanajaa sana nyuma
Hivi amesema hivyo yeye mwenyewe ole au ni rumors?Hii ya kumwacha Pogba kwa sababu ya Arsenal, inanikumbusha jana Pep alivyomtoa KDB kwa sababu ya mechi ijayo
Kilichomkuta baada ya dakika 90, hakuamini
Anawazaje mechi ijayo wakati hii bado hatujajua hata yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye link please!