Nimefuatilia mechi ,zote 18 tulizocheza nashawishika kusema safu yetu ya ulinzi bado ina mapungufu.
Naangalia naona mechi mbili tu hatujaruhusu goli mechi na chelsea pamoja na Everton.
Mwanzo wa msimu niliassess timu nikaona kwa defence yetu ungeweza kupata goalless draw nyingi lakini haijawa hivi tumekuwa tukifungwa easy goal sana why ?
Defence yetu inamapungufu ambayo hatuyaoni, defence yetu ikishambuliwa inayield kirahisi sana na magoli yote tunafungwa kupitia katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ingeshindanishwa kidunia,kwan kuna aliyeingiaga japo top 10 halafu hachezi ulayaKipindi anachukua owen ilikuwa inashindaniwa na wachezaji wanaocheza ulaya tu
Lingaard nae ni average...Tatizo la kwanza la Manchester ni kocha
pili, Martial
tatu, Lindelof
usiku mwema
Na bado Mtachakatwa Mpaka Mnye..Nimefuatilia mechi ,zote 18 tulizocheza nashawishika kusema safu yetu ya ulinzi bado ina mapungufu.
Naangalia naona mechi mbili tu hatujaruhusu goli mechi na chelsea pamoja na Everton.
Mwanzo wa msimu niliassess timu nikaona kwa defence yetu ungeweza kupata goalless draw nyingi lakini haijawa hivi tumekuwa tukifungwa easy goal sana why ?
Defence yetu inamapungufu ambayo hatuyaoni, defence yetu ikishambuliwa inayield kirahisi sana na magoli yote tunafungwa kupitia katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Mtashinda Njaa,So,Ole out now???
Big match ni tarehe 1/1 vs Arsenal,tutashinda then Ole in
18 matches,,25 point..What a fantastic job the lads have done??
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHADAKIKA YA 62 SASA, KAMA KUNA MTU AMEMUONA MARTIAL AMEGUSA MPIRA KIPINDI CHA PILI ANIAMBIE. tunafuga matatizo wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri anaompa Haaland ni ushauri mzuri sana kwa career ya huyo dogo hizo ni timu zinazomfaa dogo kwa sasa sababu tayari hizo timu ziko stable na akienda huko ana uhakika kucheza na pressure ni ndogo ukilinganisha na United na recently wachezaji wengi waliosajiliwa na United wengi wamechemsha.Kwa kuwa ni shabiki wa United unaona sio sawa jamaa kumshauri aende Dortmund angalia Hakim & Sancho hawa walikosa nafasi Madrid na City now wamekuwa kwenye form baada ya kwenda DortmundHapa ndio msemo wa nyani haoni kundule unapotumika
Yeye mwenyewe ana American mentality, money oriented kwenye kila dili
Unaambiwa anamshauri Haaland aanzie Leipzig au Dortmund kabla ya kwenda United ili apige "signing on fee" mara mbili
Huyu jamaa ni agent nisiyemkubali kabisa, kampotosha Deligt aende Juve badala ya Barca, not for football reasons lakini ni kwa financial influence
Akipigwa na njaa kidogo tu, timu zenye wachezaji wake lazima zipitie kwenye migogoro na hao wachezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee am Liverpool fan kwa vyovyote vile nipo kuitetea liver nilikuwa najaribu kuwaelezea mkanganyiko waliouanzishaHata ingeshindanishwa kidunia,kwan kuna aliyeingiaga japo top 10 halafu hachezi ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado Mtachakatwa Mpaka Mnye..
Nakujua vzr ni liverpool fan....usijal nimekuelewaMzee am Liverpool fan kwa vyovyote vile nipo kuitetea liver nilikuwa najaribu kuwaelezea mkanganyiko waliouanzisha
mlevi anaendelea kunywa
Is there a better midfielder (than Pogba) in the world? No!” he added. “If you come to that conclusion then the other conclusion is – now if you sell Paul Pogba would you buy a better one? No! Where is he? But if you create your identity then maybe you discover that Paul is ideal. If you, say, want to play with two holding midfielders then where does Paul play? In several positions.
Mmeshasahau saves zake? Binadamu mnafurahisha......na amesave magoli mangapi ya wazi?
Hivi hakuna haja ya kumpuzisha De Gea akacheza Romeo hata walau mechi mbili tukaona nae yukoje.?
Kwenye EUROPA League Romero ana 100% cleansheet why not start him in the epl too ?
Mechi 18 cleanshit 2 tu it is not right huyu jamaa possibly naye kashaanza kufuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weak argument, laiora is very stupid agent on Earth.