Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Conversion rate ya Timo Werner ni ya kawaida sana.

Kwangu mimi naona option mbili sokoni Piatek na Haaland kwanza kwa sababu zifuatazo.
1 conversion rate yao ni nzuri sana golini.

2 Wanafunga magoli ya aina nyingi wanatumia miguu yote miwili, wanafunga kwa header, wanafunga dead balls etc

3 Speed wote wanaspeed nzuri hivyo kwenye counter attack ni useful zaidi hasa ukizingatia cross za DJ wetu.

4 nguvu wana nguvu sana they are not vulnerable kwa defenders wanaweza kufanya battle za 1vs1, 1vs2 or 1vs3 na kuwa na madhara.

5 their movement with or without the ball ni nzuri sana na inasaidia kupata magoli mengi kwa timu.

6 their physical presence in the game inafaa sana hasa kwa ligi yenye physical battle kama epl.

Sisemi kuwa Timo Werner ni mbovu but my choice angekuwa hao niliowataja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Serious kabisa Haaland/Piatek wana conversion rate kubwa ya kufunga kuliko Werner ?
Unamaanisha hizo sifa zote ulizotaja Werner hana ?
 
Sijamaanisha kuwa hana sifa zote hizo.
Werner anaweza kucheza position zote za mbele yaani LW FW na RW.

Werner anamzidi conversion rate Piatek hasa ukizingatia this season Piatek hayuko form sana.

Mimi nimewaprefer hao kutokana na Piatek anaweza kucheza kama twin striker au False namba 9

Kingine anaweza kufunga kwa header, open play na deadball hasa free kick kitu ambacho man United hatupati magoli kutoka kwenye dead balls.

Kuhusu Haaland kwa form yake ya sasa conversion rate yake ni kubwa kuliko wote japo tatizo huyu bado ni mtoto hivyo kumpa mzigo mzito kuongoza safu ya ushambuliaji ya Man United ni gambling kubwa sana.

But all in all tatizo kubwa la Man united kwa sasa ni striker na namba kumi mnyumbulifu, tukiwapata wachezaji kwenye hizo position tutakuwa vizuri
Serious kabisa Haaland/Piatek wana conversion rate kubwa ya kufunga kuliko Werner ?
Unamaanisha hizo sifa zote ulizotaja Werner hana ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Conversion rate ya Timo Werner ni ya kawaida sana.

Kwangu mimi naona option mbili sokoni Piatek na Haaland kwanza kwa sababu zifuatazo.
1 conversion rate yao ni nzuri sana golini.

2 Wanafunga magoli ya aina nyingi wanatumia miguu yote miwili, wanafunga kwa header, wanafunga dead balls etc

3 Speed wote wanaspeed nzuri hivyo kwenye counter attack ni useful zaidi hasa ukizingatia cross za DJ wetu.

4 nguvu wana nguvu sana they are not vulnerable kwa defenders wanaweza kufanya battle za 1vs1, 1vs2 or 1vs3 na kuwa na madhara.

5 their movement with or without the ball ni nzuri sana na inasaidia kupata magoli mengi kwa timu.

6 their physical presence in the game inafaa sana hasa kwa ligi yenye physical battle kama epl.

Sisemi kuwa Timo Werner ni mbovu but my choice angekuwa hao niliowataja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa unaposema conversion ya Werner ni ya kawaida na inawezekana bado hujajua formation ya OGS inahitaji wachezaji gani hadi sasa na posibly humjui Werner ukimlinganisha na Piatek/Haaland

1.Mfumo wa OGS unahitaji mobile foward na sio target man like Piatek/Haaland (hawa ni pure no 9) Werner anacheza kama Martial/Rashford but he is better kwenye kufunga na kutengeneza magoli.So far sijaona tofauti ya uchezaji wa Lukaku na Haaland .Hichi ni kigezo muhimu sana kumbuka Lukaku is better striker than Martial/Rashford but he doesnt fit in OGS system

2.Timo Werner ameshafunga magoli 90+ as senior player magoli ambayo ni almost jumla ya magoli waliyofunga Martial + Rashford as senior player.Msimu huu so far kwenye bundesliga kafunga magoli 18 na assist 5 He is proven goalscorer
Haaland hajafikisha hata 50 games as senior players .

3.United hatuna fullback wazuri kwenye kushambulia (sidhani kama Shaw/AWB wamefunga goli/kutoa assist msimu huu) ndio maana ni hatufungi magoli ya vichwa ,Sadio Mane licha ya kuwa ni mfupi lakini anafunga magoli mengi ya vichwa kuliko United sababu TAA & Robertson ni wazuri kwenye kushambulia na wanapiga kross
 
PTER, Definitely it's Harry Kane to me. Mchezaji yeyote yule chini ya jua yupo sokoni ni wewe na timu yako ya negotiators mnapeleka nini mezani kama anavyopenda kusema Florentino Perez rais wa Real Madrid.
Nimeona hapo umezungumzia juu ya defence yetu pia, Mahala kuliko na shida ni upande wa kushoto maeneo mengine with time wataimarika zaidi. Kushoto kwa Luke jamaa ni injury prone kabla ya mchezo wa kesho kati ya mechi 192 za ligi kuu alizopaswa kucheza amecheza mechi 79 tu utaona kwa wastani anacheza moja mbili yupo nje na majeruhi hawezi kucheza mechi tatu consecutive bila kuumia. Ningependa kuona Benjamin Chilwell akiletwa kama mbadala wake, Ni ngumu kumuweka Luke Shaw kwenye mipango ya muda mrefu muda mwingi yupo nje ya uwanja kutokana na majeraha.
 
PTER, Definitely it's Harry Kane to me. Mchezaji yeyote yule chini ya jua yupo sokoni ni wewe na timu yako ya negotiators mnapeleka nini mezani kama anavyopenda kusema Florentino Perez rais wa Real Madrid.
Nimeona hapo umezungumzia juu ya defence yetu pia, Mahala kuliko na shida ni upande wa kushoto maeneo mengine with time wataimarika zaidi. Kushoto kwa Luke jamaa ni injury prone kabla ya mchezo wa kesho kati ya mechi 192 za ligi kuu alizopaswa kucheza amecheza mechi 79 tu utaona kwa wastani anacheza moja mbili yupo nje na majeruhi hawezi kucheza mechi tatu consecutive bila kuumia. Ningependa kuona Benjamin Chilwell akiletwa kama mbadala wake, Ni ngumu kumuweka Luke Shaw kwenye mipango ya muda mrefu muda mwingi yupo nje ya uwanja kutokana na majeraha.
Yaani spurs wamuachie Harry Kane sasa hivi??..hahaha labda utoe £300m
 
Kwa kigezo cha huyo aliyeuliza swali, cha striker mwenye experience ili awe kama guardian wa akina Martial, Rashford na Mason unaona Timo Werner ana fit hapo? 23 years old?

Kiukweli Timo Werner simkubali sana kwa sababu nje ya ligi ya Ujerumani hajawahi kunishawishi uwezo wake, ukianzia kwenye world cup na UCL
Timo Werner

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya Kane kwa sasa unaweza kujenga uwanja wenye ukubwa sawa na Emirates.

Daniel Levy hawezi kumwachia kizembe hivyo kama tunavyodhani.

Belo katoa suggestion yake kuwa ni Timo Werner he is not a bad player na anaweza kuwa easy target compared to Kane unayemtaka.

Mimi nimetoka suggestion yangu ambazo ni cheap options kwa Haaland, na Piatek hao hata ukienda sasa hivi utapewa na watakupa unachokitaka.

PTER, Definitely it's Harry Kane to me. Mchezaji yeyote yule chini ya jua yupo sokoni ni wewe na timu yako ya negotiators mnapeleka nini mezani kama anavyopenda kusema Florentino Perez rais wa Real Madrid.
Nimeona hapo umezungumzia juu ya defence yetu pia, Mahala kuliko na shida ni upande wa kushoto maeneo mengine with time wataimarika zaidi. Kushoto kwa Luke jamaa ni injury prone kabla ya mchezo wa kesho kati ya mechi 192 za ligi kuu alizopaswa kucheza amecheza mechi 79 tu utaona kwa wastani anacheza moja mbili yupo nje na majeruhi hawezi kucheza mechi tatu consecutive bila kuumia. Ningependa kuona Benjamin Chilwell akiletwa kama mbadala wake, Ni ngumu kumuweka Luke Shaw kwenye mipango ya muda mrefu muda mwingi yupo nje ya uwanja kutokana na majeraha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hicho kigezo cha Timo Werner cha kucheza kama akina Martial au Rashford ndio moja ya sababu inayonifanya mimi nisishawishike kabisa kuhusu huyo Werner

Mpira wetu umekuwa very predictable, timu ikishatubana kwenye counter attack basi tumekwishisha, hatuwezi kutumia long balls wala mbinu nyingine yoyote. We need a new striker with a new dimension like Haaland. Haaland atatusaidia sana kwenye aerial battle pale mbele, hata Ukiangalia siku hizi tunapoteza sana mipira inayotengenezwa na DJ maana hatuna wapiga vichwa

Pia Haaland technically yupo vizuri kuliko Rom, na ana movement kama za akina Martial na Rashford japo ana mwili mkubwa kama Rom

Pengine hata Dalot atakuwa na matumizi kwenye baadhi ya mechi tukiwa na striker kama Haaland. Kwangu mimi, sioni umuhimu wa AWB kucheza mechi kama ya Watford, Newcastle, Sheffield n.k. wakati Dalot yupo na striker kama Haaland yupo
Sijakuelewa unaposema conversion ya Werner ni ya kawaida na inawezekana bado hujajua formation ya OGS inahitaji wachezaji gani hadi sasa na posibly humjui Werner ukimlinganisha na Piatek/Haaland

1.Mfumo wa OGS unahitaji mobile foward na sio target man like Piatek/Haaland (hawa ni pure no 9) Werner anacheza kama Martial/Rashford but he is better kwenye kufunga na kutengeneza magoli.So far sijaona tofauti ya uchezaji wa Lukaku na Haaland .Hichi ni kigezo muhimu sana kumbuka Lukaku is better striker than Martial/Rashford but he doesnt fit in OGS system

2.Timo Werner ameshafunga magoli 90+ as senior player magoli ambayo ni almost jumla ya magoli waliyofunga Martial + Rashford as senior player.Msimu huu so far kwenye bundesliga kafunga magoli 18 na assist 5 He is proven goalscorer
Haaland hajafikisha hata 50 games as senior players .

3.United hatuna fullback wazuri kwenye kushambulia (sidhani kama Shaw/AWB wamefunga goli/kutoa assist msimu huu) ndio maana ni hatufungi magoli ya vichwa ,Sadio Mane licha ya kuwa ni mfupi lakini anafunga magoli mengi ya vichwa kuliko United sababu TAA & Robertson ni wazuri kwenye kushambulia na wanapiga kross

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kigezo cha huyo aliyeuliza swali, cha striker mwenye experience ili awe kama guardian wa akina Martial, Rashford na Mason unaona Timo Werner ana fit hapo? 23 years old?

Kiukweli Timo Werner simkubali sana kwa sababu nje ya ligi ya Ujerumani hajawahi kunishawishi uwezo wake, ukianzia kwenye world cup na UCL


Sent using Jamii Forums mobile app
The problem OGS anaonekana sio mtu wa plan B so ni ngumu sana kusajili more experience players ndio maana so far anapata taabu kusajili wachezaji anaowataka.Last season kulikuwa na striker wengi walikuwa available lakini hakuhangaika kabisa kuwasajili for short term licha ya ku-release almost 4 players.
World Cup ni mashindano ya mechi 4/8 sio sehemu nzuri ya ku-scout wachezaji,tatizo la Germany kwa sasa wanahitaji kocha mpya Joachim Low wakati wake ulishapita bado wana wachezaji wazuri (Ter Stegen,Kimmich,Rudiger,Sane,Werner,Brandt,Havertz,Goretzka,Weigl,Reus)
 
Mkuu hicho kigezo cha Timo Werner cha kucheza kama akina Martial au Rashford ndio moja ya sababu inayonifanya mimi nisishawishike kabisa kuhusu huyo Werner

Mpira wetu umekuwa very predictable, timu ikishatubana kwenye counter attack basi tumekwishisha, hatuwezi kutumia long balls wala mbinu nyingine yoyote. We need a new striker with a new dimension like Haaland. Haaland atatusaidia sana kwenye aerial battle pale mbele, hata Ukiangalia siku hizi tunapoteza sana mipira inayotengenezwa na DJ maana hatuna wapiga vichwa

Pia Haaland technically yupo vizuri kuliko Rom, na ana movement kama za akina Martial na Rashford japo ana mwili mkubwa kama Rom

Pengine hata Dalot atakuwa na matumizi kwenye baadhi ya mechi tukiwa na striker kama Haaland. Kwangu mimi, sioni umuhimu wa AWB kucheza mechi kama ya Watford, Newcastle, Sheffield n.k. wakati Dalot yupo na striker kama Haaland yupo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni tatizo la kocha hao ndio wachezaji anaowataka ndio maana kamuuza Lukaku kina Mandzukic,Llorente,Icardi walikuwa available last summaer lakini hakuhangaika nao
 
Mkuu kweli ulitegemea Icard, Lloriente na Mandzukic kuleta kitu kikubwa kuliko kuliko Lukaku?

Ni bora angembakisha Lukaku kuliko kuleta hao ma striker kisa tu tunaleta sura mpya, na kwa kutowachukua hao jamaa mimi naona ulikuwa ni uamuzi sahihi
Hili ni tatizo la kocha hao ndio wachezaji anaowataka ndio maana kamuuza Lukaku kina Mandzukic,Llorente,Icardi walikuwa available last summaer lakini hakuhangaika nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
images.jpeg

Bruno Henrique
 
Back
Top Bottom