Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kuna cha kujivunia?

Today marks the one year anniversary of Ole Gunnar Solskjaer becoming Manchester United manager. In that year, only three teams have won more points than the Red Devils; Liverpool (101), Manchester City (89) & Leicester City (69). Wheel
1576775413034.png
 
Dogo mzuri sana, baadhi ya watu wamekuwa wakimtaja kama the new Carrick, akiwemo Jose. Ana jicho la pasi.

Tukisajili midfielders huyu dogo apelekwe loan ili akomae

Kuna dogo mwenzake wanacheza naye U23 anaitwa Dylan Levit, naye ni mzuri sana na mipasi kama ya Scholes au Carrick

Kiufupi jana hakuwa na mambo mengi, ila alicheza mpira wa basics



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Lukaku na Sanchez tulisema hivi hivi wacha tusubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Honestty, Mimi ni mmoja kati ya mashabiki wachache tunaoliona kosa kubwa sana tunaloenda kulifanya kumsajili Erling, ni kijana mdogo, ana kipaji na anaweza kuja kuwa mchezaji mzuri baadae. Ila sio wakati sahihi sana kwa sasa kuongeza mshambuliaji mwenye uzoefu mdogo na timu yenye pressure kubwa kama Manchester United, ukizingatia hata hawa waliopo hakuna mwenye uhakika wa kukupa goli 20 za ligi kuu kwa msimu.
Nitafurahi sana siku msimu ujao yaani 2020/2021 atakao anza kucheza kwa mara ya kwanza ukimalizika akani-prove kuwa I was wrong about him.
 
ole press conference

Solskjaer issues Dalot and Pogba injury update
Diogo is playing tonight and getting more game-time, to get more and more ready. Paul [Pogba] is training. He’s back in with the team so we’ll see how long it takes for him to feel ready to be part of a game.It’s a similar squad to what we’ve had the last few weeks.
 
Erling Haaland flight rumour
I don’t think he’s en route here, to be fair, not through me anyway. You know I can’t comment on other teams’ players, I’ve said that many times and that’s just one of those things in this job you get speculation a lot of the time.
 
Hopeful of January signing?
Yeah, as a manager you always hope that you can do something but then again it’s not something that’s nailed on.

It has to be the right player. Right age, gonna fit into this squad and for the right value. We’re always looking and the transfer window is open but it might not happen.

We’re getting players back. We’re getting Paul, Diogo, Eric, Timothy back, that’s four extra bodies back for us in the coming months.

Diogo is playing tonight in the game for the youngsters, from then on he’s ready, Eric, Tim and Paul probably need a little more time.
 
Solskjaer wishes Arteta well
Yeah I think so, if you know the DNA and culture of the club, if you’ve been here in periods when the club’s done well, you see what the culture is, I think that’s important, build on what’s going well and improve on what you think should be improved, Pep the best example, what he did with the Barcelona team.
 
Gomes and Chong updates
Both of them are players we want to keep, they are good talents, they’ve had a couple of niggles and injuries.

Angel has been ill now for a few weeks, had a bad ankle but there are talents and they’re Man United people.
 
Ungependa tumsajili nani kwa sasa kwa mastriker walioko sokoni?
Honestty, Mimi ni mmoja kati ya mashabiki wachache tunaoliona kosa kubwa sana tunaloenda kulifanya kumsajili Erling, ni kijana mdogo, ana kipaji na anaweza kuja kuwa mchezaji mzuri baadae. Ila sio wakati sahihi sana kwa sasa kuongeza mshambuliaji mwenye uzoefu mdogo na timu yenye pressure kubwa kama Manchester United, ukizingatia hata hawa waliopo hakuna mwenye uhakika wa kukupa goli 20 za ligi kuu kwa msimu.
Nitafurahi sana siku msimu ujao yaani 2020/2021 atakao anza kucheza kwa mara ya kwanza ukimalizika akani-prove kuwa I was wrong about him.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Conversion rate ya Timo Werner ni ya kawaida sana.

Kwangu mimi naona option mbili sokoni Piatek na Haaland kwanza kwa sababu zifuatazo.
1 conversion rate yao ni nzuri sana golini.

2 Wanafunga magoli ya aina nyingi wanatumia miguu yote miwili, wanafunga kwa header, wanafunga dead balls etc

3 Speed wote wanaspeed nzuri hivyo kwenye counter attack ni useful zaidi hasa ukizingatia cross za DJ wetu.

4 nguvu wana nguvu sana they are not vulnerable kwa defenders wanaweza kufanya battle za 1vs1, 1vs2 or 1vs3 na kuwa na madhara.

5 their movement with or without the ball ni nzuri sana na inasaidia kupata magoli mengi kwa timu.

6 their physical presence in the game inafaa sana hasa kwa ligi yenye physical battle kama epl.

Sisemi kuwa Timo Werner ni mbovu but my choice angekuwa hao niliowataja.
Timo Werner

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Conversion rate ya Timo Werner ni ya kawaida sana.

Kwangu mimi naona option mbili sokoni Piatek na Haaland kwanza kwa sababu zifuatazo.
1 conversion rate yao ni nzuri sana golini.

2 Wanafunga magoli ya aina nyingi wanatumia miguu yote miwili, wanafunga kwa header, wanafunga dead balls etc

3 Speed wote wanaspeed nzuri hivyo kwenye counter attack ni useful zaidi hasa ukizingatia cross za DJ wetu.

4 nguvu wana nguvu sana they are not vulnerable kwa defenders wanaweza kufanya battle za 1vs1, 1vs2 or 1vs3 na kuwa na madhara.

5 their movement with or without the ball ni nzuri sana na inasaidia kupata magoli mengi kwa timu.

6 their physical presence in the game inafaa sana hasa kwa ligi yenye physical battle kama epl.

Sisemi kuwa Timo Werner ni mbovu but my choice angekuwa hao niliowataja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa uchambuzi wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom