Stopper3
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 625
- 1,030
Kabisa, yaani kama wana mgomo wa madai ya mshaharaSioni dalili za kushinda hii mechi wachezaji hawana morali kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo goli mlaumu de gea.Tumeanza mechi tuko slow sana hatuna vibe kabisa. Victor mmmh ngoja nimuache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaha LOCAL BOY TOM DAVIES Dogo mechi kama hizi anakamianga sana.Toa Lingard, weka Greenwood kwa kuanzia
Tum target Davies zaidi mwenye kadi ya njano, DJ apewe hiyo kazi kukatiza kati a mbele yake
Dhidi ya timu ndogo, kaugonjwa kalekale
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa Lingard, weka Greenwood kwa kuanzia
Tum target Davies zaidi mwenye kadi ya njano, DJ apewe hiyo kazi kukatiza kati a mbele yake
Dhidi ya timu ndogo, kaugonjwa kalekale
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu hakuna match ambayo ameshinda baada ya kutangulia kufungwa
dogo analijua goli balaa,
Huyu dogo mashuti yake huwa noma sana. Angalia zile goli za Europa siku ya Alhamis
watoto wadogo ili kuwakuza vizuri inabidi uwablend taratibu kikosi cha kwanza, hawatakiwi kupewa majukumu makubwa.