Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,295
Man Utd kama Biashara United Mara











Jones is rubbish..yupo out of position na kutoa mpira nje pia anashindwa..F.uck him




Tunaomba msimamo wa ligiJones..Jones..Jones amecheza vizuri leo. Kocha kachemka sana kumtoa. Angemtoa william amuingize angalao Tuanzebe au Young dogo kazidiwa sana. RED itampata leo William.
Mkuu kwa heshima na taadhima tunaomba msimamo wa ligi tafadhali.Nimependa sana Wan Bissaka kusogea mbele..mashambulizi yatakuwa mengi sana..sio kikosi cha kupaki basi![]()