Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,022
Kama Chelsea alivyokamatia ukuni jana akapa mimba ya mapacha
jamaa kala za usoKama Chelsea alivyokamatia ukuni jana akapa mimba ya mapacha
jamaa kala za usoTulia wewe leo ushindi nje njeMgonjwa anaweza akafa Leo humu maana Kila wik lazima kuwe na msiba ktk Haya majukwaa yetu pendwa

It's Matchday..
GGMU..
Leo ushindi ni muhimu..tukifungwa leo au draw,top four itakuwa ngumu kuisolegelea achilia mbali tu kuifikia.
.Wagumu sisi ndio huwa tunapiga...kina Leicester tunapiga kisawasawaMkuu me sijaona dalili yoyote ya man United kushinda leo,labda wewe uiseme.
labda mngekuwa mko nyumbani ila nyumbani kwa Sheffield United hata droo hampati hapo.
Man u hana kikosi cha kufunga hata goli moja pale nyumbani kwa Sheffield United.
Timu zilizocheza na Sheffield United pale nyumbani kwake ndio zinaelewa wale jamaa wako vipi,naona mnajofariji mtawafunga nyumbani Sheffield United.
Mzee hii umeweka mwenyew au?Habari ndio hii leoView attachment 1271366
Habari ndio hii leoView attachment 1271366
Sasa Kama unaamini mechi iko wazi kwa nini huo uwazi uwe kwa Sheffield tu na sio Manchester United Pia ???Leo mnafungwa Sheffield united wako vizuri sana wakiwa nyumbani.
Naona mnaamini mtashinda leo,hizo ni ndoto za alinacha. Kumfunga Sheffield United nyumbani kwake.
Sheffield United wako vizuri sana kwenye kuzuia ndio timu iliyoruhusu goli chache Baada ya leicester, ijawahi kufungwa goli zaidi ya mbili Na timu yoyote ile mpaka sasa.
Kwa kifupi tunaofatilia mpira na kuujua ,mechi ya leo iko wazi kabisa mnafungwa na Sheffield United.
Good selection kulingana na wachezaji tulionaoHabari ndio hii leoView attachment 1271366
Leo ni msiba mwingine baada ya kupiga trip wiki 2 zikizopita leo man u watakuwa gereji wakitengenezwa.Sasa Kama unaamini mechi iko wazi kwa nini huo uwazi uwe kwa Sheffield tu na sio Manchester United Pia ???
Hivi tukiwaita mashabiki wa arsenal mnapaswa kugawiwa vyumba pale mirembe tutakuwa tunakosea ???
GGMU
Kwa hiki kikosi leo mtashinda mchana kweupeHabari ndio hii leoView attachment 1271366
Tulia kijanaLeo ni msiba mwingine baada ya kupiga trip wiki 2 zikizopita leo man u watakuwa gereji wakitengenezwa.
Utakuwa na Vinasaba vya Upinde Wa Mvua wewe Si Bure.Kwa hiki kikosi leo mtashinda mchana kweupe
Kila la kheri Women United
Haya si mambo ya soka tu ndugu yangu sasa matusi ya nini tena mkuuUtakuwa na Vinasaba vya Upinde Wa Mvua wewe Si Bure.
Nimependa sana Wan Bissaka kusogea mbele..mashambulizi yatakuwa mengi sana..sio kikosi cha kupaki basiMzee hii umeweka mwenyew au?

Mkuu kusema kweli sijakutukana ndugu yangu ... Labda utakuwa umeelewa vibaya.Duh mkuu umefika hadi huko tenaHaya si mambo ya soka tu ndugu yangu sasa matusi ya nini tena mkuu